Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,111
- 158,967
Hao ndio angalau wamekua na akili zinarudi rudi. Chini ya hapo ni mafurushi matupu.Anatafuta kuuwa wagane wa watu tu huyu,asiseme hata 35?
Hao ndio angalau wamekua na akili zinarudi rudi. Chini ya hapo ni mafurushi matupu.Anatafuta kuuwa wagane wa watu tu huyu,asiseme hata 35?
Achaga tu atafute 45.
Hutu tu 27 mpaka 29 tunakuwaga tushetani tudogo.
Hawa hawakuagi in the real sense.
29 mbona mbali hata 35 wanakuwa bado
Tukue ili iweje...nyie tupendeni tuu na utoto wetu cha msingi wee hela ipoHawa hawakuagi in the real sense.
Na uno la haja. Pesa haziwezi kutufirimba.Tukue ili iweje...nyie tupendeni tuu na utoto wetu cha msingi wee hela ipo
Kuwafirmba tena🤣🤣🤣🤣.Na uno la haja. Pesa haziwezi kutufirimba.
mkuu jaribu wenda akawa mbadala wa yule mchepuko wakoVigezo ninavyo ila sihitaji mahusiano
Kila la heri mkuu
Kama anataka, yeye ndo aje pm nimfanyie usailli,mkuu jaribu wenda akawa mbadala wa yule mchepuko wako
Binti jaribu PM nina vigezo vyoteI'm a 28 years beautiful lady from Dar es salaam,not married and i dont have kids yet.Am seriously looking for a man with that age or above to have an amazing relationship with.Please hit my PM if you are interested.Welcome
KheeKama anataka, yeye ndo aje pm nifanyie usailli,
Always Nina standards zangu mkuu,
Kuanzia sura,umbo, rangi , mapaja mpaka muundo na mfumo wa mbususu iweje.
Akifuzu anachukua Jimbo
Tofauti ndogo sana45-28=17
Ha ha ha...Khee
Hamu haina uzee.Ile kitu haina umri aisee...!