Looking for a man to marry (seriously)


Umejieleza vyema lakini hujataja jinsia yako ili watu tukajua.

Hii dunia ya Leo tunashudia even Like Poles ziki-attract each other hivyo naomba uweke mambo bayana.
 
Jmn kwan mtu akisema anatafuta mwanaume bado huwez kujiongeza kujua jinsia yake?@ze jackal
 

Unatafuta kuchezewa wala sio kiolewa umeona wapi mume abatafutwa kama kazi.hao wanaume woote waliokutongoza toka umekua mpaka leo hawafai?, huko unapoishi huwaoni mpaka ujitangaze huku
 
wasiliana na mungu akuumbie hicho kiumbe,na wewe una sifa zipi,utakuta mbayaa hata shape huna ila unavojua kuchagua
 
Jmn kwan mtu akisema anatafuta mwanaume bado huwez kujiongeza kujua jinsia yake?@ze jackal

Inaonyesha una mapungufu pia maana sio lazima kila mtu umjibu hyo ni discounting factor ww unashida halafu unaleta ubabe inabidi upitie kitchen party hta kwa wenzio u look mbabe n rather thn serious
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…