Habari wana JF, natafuta house ya acer aspire 5610z coz laptop yangu immeharibika bawaba (imepasuka) haifungi kwaio iko kama desktop nashindwa kuikunja... nimezunguka kwa mafundi wakaniambia paka nipate mtu mwenye pc km iyo ambayo mbovu ndo akupe house ...my No: 0686 921820