Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Huyu makonda tunajua ni robot la magu. Ila litamcost sana. Hii vita ya mashoga alianzisha mara ya kwanza ila ikakosa nguvu. Sasa kairudsha kwa kasi kwa amri ya amri mgambo mkuu.
Hamia Kenya kama na wewe unapenda ushoga. Hapa kwetu hatuhitaji mashoga hata Mungu hapendi mambo yako ndiyo maana aliiangamiza "SODOMA NA GOMOLA" Hivyo mkuu kama unaona watalii mashoga hawatakuja Tanzania sawa tu! Kwa taarifa yako mara nyingi tu mashoga wa ulaya wamefukuzwa nchini wakileta cha kuleta!A London agent Nick Harding-McKay, owner of Balham-based Travel Designers, has written to his supplier partners asking them to avoid selling the east African country “while such threats to a large section of the community are in place by their government”.
He also added that the governor’s announcement could pose a threat to tourists in the area.
Harding-McKay’s plea followed the news that Paul Makonda, governor of the country’s economic capital Dar es Salaam, told reporters round-ups of gay people would begin in the next week.
Makonda said a surveillance team would also scrutinise social media in order to track down and arrest people who are in same sex couples.
"Give me their names," Makonda was reported as saying by AFP news agency. "My ad hoc team will begin to get their hands on them next Monday."
Anti-LGBT rhetoric has been growing in Tanzania since President John Magufuli took office in 2015.
Makonda, who BBC News described as a “staunch ally” of the president, admitted he expected criticism from the international community over the move, but said: “I prefer to anger those countries than to anger God.”
Harding-McKay said he was still waiting to hear back from most supplier partners, but Andy Freeth, chief executive of If Only replied to say that while the operator did not currently sell Tanzania, the “awful comments” of the governor meant it would “not be featured though If Only anytime soon” unless the situation “dramatically changed”.
A spokesperson for the Tanzania Tourism Organisation, which is a private sector initiative, said: “It is hugely disappointing to hear of any type of prejudice, anywhere in the world.
"We are not fully aware of the legislation or of the actions being undertaken, at present. But the tourism industry is a key contributor to GDP in Tanzania, therefore I would anticipate that the entire tourism industry in the country will want to urgently debate this with the government and act accordingly”.
Agent urges operators to avoid Tanzania after witch-hunt of gay people announced
My Take: Maamuzi yetu japo mazuri lkn yatainufaisha Kenya kwenye sekta ya Utalii.
Shoga pole sana!!Huyu makonda tunajua ni robot la magu. Ila litamcost sana. Hii vita ya mashoga alianzisha mara ya kwanza ila ikakosa nguvu. Sasa kairudsha kwa kasi kwa amri ya amri mgambo mkuu.
Hata mwanzilishi wa hii vita mwenyewe ni shoga. Kama unabisha akapimwe marinda kma anayo nifungwe.Shoga pole sana!!
1. Saudia ana mafuta, rasilimali inayotegemewa duniani kote, hawategemei utalii kuwaingizia fedha za kigeni. Sisi hapa utalii ndio muingizaji mkubwa forex...na product yetu sio ya pekee sana kwa tanzania, zipo nchi jirani ambazo mtalii anaweza kwenda na akapata experience ambayo tunaiuza sisi. Kwahiyo huwezi hata siku moja kulinganisha saudia na tanzania.Kosa la ushoga kwa nchi kama Saudia adhabu yake ni kubwa sana lakini hatujawahi kuwasikia wakilaani au kuiwekea vikwazo
Washaipata, watu washaituma mpaka CNN !bado hawajapata tweet ya ngwangwala...watalii MACHOKO kurudishwa airport alisema ngwangwala kwa niaba ya serikali...OOOI OIII KONKI MASTER OIL CHAFUUUU
Alijishtukia akafuta ile tweet yake kabla haijaleta athari kubwa. Waziri mzima huwezi kuwa unatoa kauli kienyeji hivyo, tena anatumia kauli za kihunibado hawajapata tweet ya ngwangwala...watalii MACHOKO kurudishwa airport alisema ngwangwala kwa niaba ya serikali...OOOI OIII KONKI MASTER OIL CHAFUUUU
kule kwao zaidi ya queer,gay kuna majina ukiwaita ni kesi kabisa..kama sisy boy equivalent ya neno choko alilotumia bwana waziri ambaye bahati mbaya mdogo wake wa kiume naye pia ni haohao machokoAlijishtukia akafuta ile tweet yake kabla haijaleta athari kubwa. Waziri mzima huwezi kuwa unatoa kauli kienyeji hivyo, tena anatumia kauli za kihuni
Si ndio hapo! Sasa hapa kwetu sitashangaa hata mzee baba akitumia kauli hiyo..ni swala la muda. Yaani tunajipa negative publicity unnecessarily.kule kwao zaidi ya queer,gay kuna majina ukiwaita ni kesi kabisa..kama sisy boy equivalent ya neno choko alilotumia bwana waziri ambaye bahati mbaya mdogo wake wa kiume naye pia ni haohao machoko
Kwa hiyo na wewe ni shoga? Lazima uchomwe moto siku ya mwisho!! Hamia ulaya hapa TZ hapakufaiHata mwanzilishi wa hii vita mwenyewe ni shoga. Kama unabisha akapimwe ******* kma anayo nifungwe.
Tatizo nyie ombaomba halafu mnaleta jeuriKosa la ushoga kwa nchi kama Saudia adhabu yake ni kubwa sana lakini hatujawahi kuwasikia wakilaani au kuiwekea vikwazo
Huyo mungu mwenyewe wamekuletea waoHamia Kenya kama na wewe unapenda ushoga. Hapa kwetu hatuhitaji mashoga hata Mungu hapendi mambo yako ndiyo maana aliiangamiza "SODOMA NA GOMOLA" Hivyo mkuu kama unaona watalii mashoga hawatakuja Tanzania sawa tu! Kwa taarifa yako mara nyingi tu mashoga wa ulaya wamefukuzwa nchini wakileta cha kuleta!
Labda walikuletea wewe mimi hapana!Huyo mungu mwenyewe wamekuletea wao
Bila wao usingejua kama kuna mungu zaidi ya kuabudu majabali na miti tu shukuru hata ustaarabu ulionao wamekuletea waoLabda walikuletea wewe mimi hapana!
Mimi namuabudu Mungu wangu na wala si wamashoga! Nielewe mkuu!! Hata ulaya wapo wanaomuabudu Mungu wa kweli na wala si wa hao mashoga!! Vipi wewe unamwabudu yupi?Bila wao usingejua kama kuna mungu zaidi ya kuabudu majabali na miti tu shukuru hata ustaarabu ulionao wamekuletea wao
Huyo mungu wakweli ulimgundua wewe au wazunguMimi namuabudu Mungu wangu na wala si wamashoga! Nielewe mkuu!! Hata ulaya wapo wanaomuabudu Mungu wa kweli na wala si wa hao mashoga!! Vipi wewe unamwabudu yupi?
Kumbe na hangaika na shoga!!Huyo mungu wakweli ulimgundua wewe au wazungu