ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,274
- 22,008
Ivi hii tabia ya wanaume kuchamba kuliko wanawake imetoka wapi???
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee sijui imetoka wapi hiii ngoja tumuite naniiiIvi hii tabia ya wanaume kuchamba kuliko wanawake imetoka wapi???
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!! Kazi kweli kweli na mambo ya Instagram unayajua yote mpaka kina mange kina east walichopost huko lakini huna account duh najionea tabuuuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sasa patamu, mbwembwe zote zitaisha, eti anapapasa mimba yake na kusema "thanks sweet hdarlinga" ili kumuumiza mzazi mwenzie, haya sasa avujishe clip za huyu mumewe kama yeye hodari sana.Mji ushakua mzito hakii😂😂😂 . Yule dada wa taifa alomwacha mzazi mwenzie kwa mbwembwe zotee akaenda kuolewaa na shemeji asomaneno mengi yamemkuta mazitooooooooo😂😂😂😂😂 . Bwana kazaa njee afu kahamia kwa kwa mchepuko mazimaaa! Unaambiwa dada anahaha hatarii afu majibu anayopewaa ni haya (kama unaumia nikupe talaka uendee) 😭😭😭😭mi huku namuonea huruma dada maana naona kama malipo ya instagram ndio yamewadia upande wakee🙄🙄
Hapo sasa patamu, mbwembwe zote zitaisha, eti anapapasa mimba yake na kusema "thanks sweet hdarlinga" ili kumuumiza mzazi mwenzie, haya sasa avujishe clip za huyu mumewe kama yeye hodari sana.
Maskini na aliekuwa anamringishia MUNGU kampenda zaidi, so sad kwa watoto maana alikuwa anatumia nguvu kubwa kuonesha uma jinsi Mume anavypenda watoto wa kambo.Saiv hawezi,kwisha jeuri yake
Maskini na aliekuwa anamringishia MUNGU kampenda zaidi, so sad kwa watoto maana alikuwa anatumia nguvu kubwa kuonesha uma jinsi Mume anavypenda watoto wa kambo.
Sad, nawaonea sana huruma watoto waliaminishwa maisha ni fedha now sijui itakuwaje, nadahani hata ile safari ya USA alijitutumua ili amfurahishe mume, dah! kuna janga linaweza kukuta ujute kuzaliwa, na alivyokuwa anajishebedua na KING S.. wake eti "mwanangu kua niongeze mwingine, napenda kuzaa", kama mfadhili kasepa na MUME kawa macho juu, mbona domo limemponza.Mastaa wetu wana maisha ya kawaida na magumu kama sie ila sasa wao wanayaongezea ugumu zaidi kwa maigizo ili waonekane wa kipekee. Cheki huyu dada mkombozi kaondoka,mbwembwe kwisha,birthday zinapita kimya kimya hakuna cha milion nne hotel zenji wala movie iliyotangazwa kwa madoido
Niuzie mieWARUMI upo vzur sana katka sekta hii ya udaku, njoo nikuuzia ac yangu ya insta kwa bei chee ina 15k, uendlee kuikuza baada ya mda uanze kupiga pesa za matangazo
Write your reply...
Duh..15k mbona ndgo,nna 215k na sjapost toka mwaka jana katikatiWARUMI upo vzur sana katka sekta hii ya udaku, njoo nikuuzia ac yangu ya insta kwa bei chee ina 15k, uendlee kuikuza baada ya mda uanze kupiga pesa za matangazo
Write your reply...
Ni PMNiuzie mie
Sent using Jamii Forums mobile app
anaikuza atakaenunua,hyo 215 shngapDuh..15k mbona ndgo,nna 215k na sjapost toka mwaka jana katikati
Sent using Brain
Sad, nawaonea sana huruma watoto waliaminishwa maisha ni fedha now sijui itakuwaje, nadahani hata ile safari ya USA alijitutumua ili amfurahishe mume, dah! kuna janga linaweza kukuta ujute kuzaliwa, na alivyokuwa anajishebedua na KING S.. wake eti "mwanangu kua niongeze mwingine, napenda kuzaa", kama mfadhili kasepa na MUME kawa macho juu, mbona domo limemponza.
Mtu akiwa mbumiliv ntampa bure may mwanzonianaikuza atakaenunua,hyo 215 shngap
Ana wakati mgumu sana, bora asingekuwa na mashauzi angeishi poa tu ila kujikweza kwake kutamgarimu.So sad kwa kweli hope ada haitakata ili waendelee na ile shule ya wenye nazo. Kile kipindi alikua anachezea child support na pesa za kwenye magrup ya wonder women. Saiv vyote vimekata sidhan kama atakumbuka ya mdogo wake S
mvumiliv kivp njoo pm unipangeMtu akiwa mbumiliv ntampa bure may mwanzoni
Sent using Brain
Ila km ile nyumba ni yake basi ako na nafuu kidogo maana angalau pa kuishi kwa uhakika anapo.So sad kwa kweli hope ada haitakata ili waendelee na ile shule ya wenye nazo. Kile kipindi alikua anachezea child support na pesa za kwenye magrup ya wonder women. Saiv vyote vimekata sidhan kama atakumbuka ya mdogo wake S
Yaan hd huruma.Sad, nawaonea sana huruma watoto waliaminishwa maisha ni fedha now sijui itakuwaje, nadahani hata ile safari ya USA alijitutumua ili amfurahishe mume, dah! kuna janga linaweza kukuta ujute kuzaliwa, na alivyokuwa anajishebedua na KING S.. wake eti "mwanangu kua niongeze mwingine, napenda kuzaa", kama mfadhili kasepa na MUME kawa macho juu, mbona domo limemponza.