Logo Design Hacking

kadoda11

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
21,453
20,712
bila shaka baadhi yenu hii logo si ngeni machoni penu.
branding wise,hii ni moja kati ya logo inayonivutia.nikaweka nia siku moja nikipata wasaa nijaribu kui-recreate kwa mbinu na maarifa yangu kwa kuongeza/kupunguza baadhi ya details bila kupoteza uhalisia wa logo halisi.

na hiyo ndio logo niliyo create.


hii ndio logo halisi ya bidhaa husika.


how did i do it?.nakaribisha maoni/maswali.
 

Attachments

  • jf png.png
    155.9 KB · Views: 144
  • Castle_Logo_-_02.JPG
    15 KB · Views: 116
Logom unatengeneza kwa Tsh ngapi mkuu nikupe kazi.
 
Ebu ingiza kitwanga apo
 
kazi nzuri mkuu hapo bado hizo fonts tu naona zako na za castle ni tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…