umetumia app gani kutengeneza hio logo?sawa mkuu,nitajaribu.uzuri jina lako tayari ni Bavaria,so haitokuwa shida.
Logom unatengeneza kwa Tsh ngapi mkuu nikupe kazi.bila shaka baadhi yenu hii logo si ngeni machoni penu.
branding wise,hii ni moja kati ya logo inayonivutia.nikaweka nia siku moja nikipata wasaa nijaribu kui-recreate kwa mbinu na maarifa yangu kwa kuongeza/kupunguza baadhi ya details bila kupoteza uhalisia wa logo halisi.
na hiyo ndio logo niliyo create.
View attachment 368252
hii ndio logo halisi ya bidhaa husika.
View attachment 368255
how did i do it?.nakaribisha maoni/maswali.
ok kwa hiyo kuna adobe photoshop, adobe effect n.k?adobe after effect mkuu.
pia hata Photoshop na illustrator zinafanya ila inategemea na app unayo imudu.
Ebu ingiza kitwanga apobila shaka baadhi yenu hii logo si ngeni machoni penu.
branding wise,hii ni moja kati ya logo inayonivutia.nikaweka nia siku moja nikipata wasaa nijaribu kui-recreate kwa mbinu na maarifa yangu kwa kuongeza/kupunguza baadhi ya details bila kupoteza uhalisia wa logo halisi.
na hiyo ndio logo niliyo create.
View attachment 368252
hii ndio logo halisi ya bidhaa husika.
View attachment 368255
how did i do it?.nakaribisha maoni/maswali.
kama huna psd/source/vector file la mtengenezaji kuclone ni ngumu kuliko hata kutengeneza file lako mwenyeweJaribu kuwa mbunifu, dont copy and paste. Be creative.
kazi nzuri mkuu hapo bado hizo fonts tu naona zako na za castle ni tofautibila shaka baadhi yenu hii logo si ngeni machoni penu.
branding wise,hii ni moja kati ya logo inayonivutia.nikaweka nia siku moja nikipata wasaa nijaribu kui-recreate kwa mbinu na maarifa yangu kwa kuongeza/kupunguza baadhi ya details bila kupoteza uhalisia wa logo halisi.
na hiyo ndio logo niliyo create.
View attachment 368252
hii ndio logo halisi ya bidhaa husika.
View attachment 368255
how did i do it?.nakaribisha maoni/maswali.