Nenda Tausi Bar&Guest House kule hadi 10,000/=
lkn ujue kuna Bar na wanywaji wengi wanapenda mipira kunya, supu (namaanisha makelele walishalewa)
mitaa hiyo hiyo ya Mafuta Street na Dar'slaam Street zipo nyingi za 10,000/= hadi 15,000/=
km huna mizigo chukua Bodaboda ya buku hadi Stand
hiyo mitaa ya karibu kwa miguu Guest ni bei ghali hasa