Joto la jiwe linazidi kuwa moto huko kwa manyang'au hadi uvumilivu unaanza kuwashinda. Yaani wanasiasa wanawala jamaa hivi hivi huku hali inazidi kuwa mbaya kwa vijana wasiojua mbele wala nyuma. Eti ni kwa sababu ya vita dhidi ya corona.
Malipo ya nini wakati wameambiwa wakae nyumbani?
Tanzania imeweza kulipa walimu mishahara kwa miezi mitatu bila kufanya kazi na hatukuchukua corona loan
Malipo ya nini wakati wameambiwa wakae nyumbani?
Tanzania imeweza kulipa walimu mishahara kwa miezi mitatu bila kufanya kazi na hatukuchukua corona loan