LLB (Elimu ya Watu Wazima)

....aaaaahhh bana, hebu jichunguze kilichokupelekea ndoto hiyo,
lazima kuna issue uliizungumzia siku hiyo kuhusiana na mambo ya
ujenzi na kusalitiwa,....

BTW, #Lucy hajambo?...aisee, eti "Kaka Mentor!"

Mkuu Mbu shhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh #kimyakimya .

Kuhusu hilo la ndoto ngoja nitafakari nitakuja na mrejesho baadaye!


I like your stories..huwa hazinichoshi kusoma............

naona ulikuwa na mahasira na Dr Chrispine Lol......we wajua jirani halafu

mafundi wanakwambia ni mtu na mmewe,bora iishie tu ndotoni kwa kweli........
Heaven on Earth...kwanza salamu from 'ur man' anauliza sikukuu yote hata sms!??? #mjumbeHauawi

Lol..Dr. Chrispine anahitaji kuadhibiwa anachukua vibinti vichanga hadi wake za watu....hadi ndotoni!!!!!!!!!!!!!!!

naona ushauri wa Moderator kivuli umefanya kazi.......

I can see some changes LOL..

What is this about mke wetu?
 
Last edited by a moderator:
Mentor
naomba leo ulale tena uimalizie hii ndoto halafu uje na majibu ya masuali yangu yafuatayo:

baada ya tukio hilo mtazamo wako juu ya wanawake ulikuaje?

unahisi ni nini kilichangia mkeo kukusaliti ilihali inaonekana kama mlikua na maisha mazuri yenye upendo tu?

.....usihame unapoishi,sehemu nyingine majirani hawaamshani kabisa...
 
Last edited by a moderator:
Mentor I dnt know what happende mpaka nikamsahau "My man" asante kwa taarifa lakin

Mbu anajua ninachokimaanisha hapo..we usitake kujua zaid
 
Last edited by a moderator:

Sawa mwallu, unikumbushe kesho!

Mentor I dnt know what happende mpaka nikamsahau "My man" asante kwa taarifa lakin

Mbu anajua ninachokimaanisha hapo..we usitake kujua zaid

I know what hapenned. Exactly what hapenned to mama Brighton a.k.a Fetty a.k.a Fatma mke wangu wa ndotoni!

duh! baba brighton!

Mh Husninyo, hadi mama Brighton wa ndotoni mwangu unamjua!?? JF Noma.
 
Last edited by a moderator:
Sawa mwallu, unikumbushe kesho!



I know what hapenned. Exactly what hapenned to mama Brighton a.k.a Fetty a.k.a Fatma mke wangu wa ndotoni!



Mh Husninyo, hadi mama Brighton wa ndotoni mwangu unamjua!?? JF Noma.

namjua vizuri, msamehe lakini kwa aliyokutendea. vipi kesho tutarajie ndoto gani?
 

All I can read between the lines here ni kwamba Mentor eshaumwa na nyoka 'ndotoni'
Sasa ole wake ajipendekeze mrembo aitwaye Fatma 'Fetty' katika maisha yake,
au Jirani aitwaye Dr. Crispin, au mama watoto alazimishe mtoto aitwe Brighton...

#PatachimbikaAisee !
 
Mentor asante kwa utunzi mwanana. Ila umeniacha hoi ulipomsifu mke wako wa ndotoni ambaye pamoja na sifa nyingine ana 'umbo zuri lenye kung'aa'. Sikupata picha ya umbo linalong'aa, lakini kwakuwa ni ndoto nilijilazimisha kukubali. Vinginevyo, hongera na keep it up!
 
Last edited by a moderator:
Mentor yaelekea unapenda sana mashombe shombe mara kadhaa umekua ukitumia character wa aina hii. hata hivyo mshukuru Mungu haikua kweli ungepata mshtuko mkubwa. Ni ndoto nzuri kwani haya yanatokea kwenye jamii kila leo.
 
Last edited by a moderator:

.....umeona ee? ....yaani alipoamka na kumnyatia Fetty jikoni alimkuta mashaallah...
Mentor, ashakum si matusi...kama sio Dr.Crispin kukutoa Mood
leo ungefua mashuka Meku!
 
Last edited by a moderator:
namjua vizuri, msamehe lakini kwa aliyokutendea. vipi kesho tutarajie ndoto gani?

Duh Hus.wantakia mema kweli? Leo nmechelewa job na kesho tena mamii??? #beSerious .


Hahaha mkuu umewazidi babu zangu Asprin na Dark citu kwa kusoma between the lines. N i wont say a word!!!!
 
Last edited by a moderator:

Hujui ngozi ya kung'aa??

Mentor yaelekea unapenda sana mashombe shombe mara kadhaa umekua ukitumia character wa aina hii. hata hivyo mshukuru Mungu haikua kweli ungepata mshtuko mkubwa. Ni ndoto nzuri kwani haya yanatokea kwenye jamii kila leo.

Ni kweli hutokea ndiyo maana na mm nkakemea nilipoamka.

Haha abt shombeshombee.....unantafutiankesi naona.

.....umeona ee? ....yaani alipoamka na kumnyatia Fetty jikoni alimkuta mashaallah...
Mentor, ashakum si matusi...kama sio Dr.Crispin kukutoa Mood
leo ungefua mashuka Meku!

Ahahahahaha mkuu umenichekesha kwenye pantoni..lol.


Yaani we jamaa ukitoa "a" ya mwisho kwenye jina lako utalikataa kabisa

Heheheh...wqtu wengine sijui huwa mnawaza nn kakweli....
Reminds me of vifipisho vya watu hawa: Heaven on Earth - hoe
Asprin - babu as
Kongosho - koni. Mh!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…