kabiriga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 1,163
- 1,213
Siku Ishirini ya kuokoka baada ya kuubiliwa neno la Mungu,tukiwa tumejipumuzisha kitandani mimi na mke wangu mara nikaanza kumuomba msamaha kwakuwa nilitenda mabaya enzi za giza(kabla sijaokoka) "nilitembea nje ya ndoa mke wangu nisamehe nakuhaidi sitarudia tena" "Nimekusamehe mme wangu yametipa hayo" alisema.
Baadae nae akaanza kwa tahadhari akinitaka niseme kweli kama nita msamehe kwa aliyonitendea nikamwambia ondoa shaka mke wangu nitakusamehe tu.Akasema "unajua mme wangu nimepigana sana kukupata na isingekuwa mama mmoja leo tusingekuwa wote,nilikupa dawa unipende sana mme wangu baada ya kuona unataka kuniponyoka,dawa ya mwisho niliyo kulisha niliichanganya na kipande cha nyama na nilikiweka sehemu zangu za siri siku 2 kisha nika kipika na kukiunga na nyama nyingine ndo nkakupa,baada ya kula tu ndo ukaawa wangu nikakutuliza.umenisamehe mme wangu kwa kukulisha dawa za upendo?"
Baada ya hapo nilitafakali sana nikageuka upande wapili wa kitanda nikajifanya kulala usingizi lakini nilkuwa natafakari kamakweli nimsamehe au la!.
sija mwambia kama nimemsamehe au hapana.nimejipa siku tatu za kutoa (kumwambia uamuzi) na maamuzi yangu nikuachana nae kwani kwangu mimi nimeona alifanya makosa yasiosameheka,kwani kama ingelikuwa sumu ningalikwisha kufa.Naombeni ushahuri wenu kama uhamuzi wangu ni haki.
Baadae nae akaanza kwa tahadhari akinitaka niseme kweli kama nita msamehe kwa aliyonitendea nikamwambia ondoa shaka mke wangu nitakusamehe tu.Akasema "unajua mme wangu nimepigana sana kukupata na isingekuwa mama mmoja leo tusingekuwa wote,nilikupa dawa unipende sana mme wangu baada ya kuona unataka kuniponyoka,dawa ya mwisho niliyo kulisha niliichanganya na kipande cha nyama na nilikiweka sehemu zangu za siri siku 2 kisha nika kipika na kukiunga na nyama nyingine ndo nkakupa,baada ya kula tu ndo ukaawa wangu nikakutuliza.umenisamehe mme wangu kwa kukulisha dawa za upendo?"
Baada ya hapo nilitafakali sana nikageuka upande wapili wa kitanda nikajifanya kulala usingizi lakini nilkuwa natafakari kamakweli nimsamehe au la!.
sija mwambia kama nimemsamehe au hapana.nimejipa siku tatu za kutoa (kumwambia uamuzi) na maamuzi yangu nikuachana nae kwani kwangu mimi nimeona alifanya makosa yasiosameheka,kwani kama ingelikuwa sumu ningalikwisha kufa.Naombeni ushahuri wenu kama uhamuzi wangu ni haki.