Liverpool vs Man U - Barclays EPL Sunday 23rd September 2012

Tisha-TOTO

JF-Expert Member
Feb 10, 2010
1,175
604
Tukiwa tunajiandaa kwa mtanange kati ya Liverpool v Man U kwenye Barclays EPL siku ya jumapili keshokutwa tarehe 23 September kuanzia saa 9.30 alasiri, si vibaya tukafanya mapitio na kulinganisha mafanikio ya kihistoria kati ya clubs hizi 2 zenye mataji mengi between them kuliko club nyingine yoyote ya Uingereza.

Kwa kifupi, Liverpool ndiyo club yenye mafanikio makubwa zaidi kuliko Man U ukilinganisha jinsi trophy cabinets zao zilivyosheheni .....na ninaposema "trophy" nina maana ya "trophy" kweli, si mbao!!

Embu check hizi statistics hapa chini.....Liverpool wamewazidi Man U kwa mataji 3 zaidi (i.e 44 v 41).
Competition
Liverpool
Man U
League titles
18
19
FA Cups
7
11
League Cups
8
4
European Cup/Champions League
5
3
Cup-Winners' Cup
0
1
Uefa Cup
3
0
Uefa Super Cup
3
1
Intercontinental Cup
0
1
Club World Cup
0
1
Total
44
41

Nawatakia Man U kila la kheri keshokutwa katika harakati zao za ku-play catch-up dhidi ya superiority ya Liverpool, hususani kwenye mataji ya UEFA!

 
Van Goal atapiga mbili,Kagawa moja na Valensia moja = 4 - 0.
 
Tukiwa tunajiandaa kwa mtanange kati ya Liverpool v Man U kwenye Barclays EPL siku ya jumapili keshokutwa tarehe 23 September kuanzia saa 9.30 alasiri, si vibaya tukafanya mapitio na kulinganisha mafanikio ya kihistoria kati ya clubs hizi 2 zenye mataji mengi between them kuliko club nyingine yoyote ya Uingereza.

mbona data zako zinapishana na hizi
Liverpool F.C.
Kwa kifupi, Liverpool ndiyo club yenye mafanikio makubwa zaidi kuliko Man U ukilinganisha jinsi trophy cabinets zao zilivyosheheni .....na ninaposema "trophy" nina maana ya "trophy" kweli, si mbao!!
Liverpool F.C.
sina timu ila data nilizopata ni hizo hapo juu

Embu check hizi statistics hapa chini.....Liverpool wamewazidi Man U kwa mataji 3 zaidi (i.e 44 v 41).
Competition Liverpool Man U
League titles 18 19
FA Cups 7 11
League Cups 8 4
European Cup/Champions League 5 3
Cup-Winners' Cup 0 1
Uefa Cup 3 0
Uefa Super Cup 3 1
Intercontinental Cup 0 1
Club World Cup 0 1
Total 44 41

Nawatakia Man U kila la kheri keshokutwa katika harakati zao za ku-play catch-up dhidi ya superiority ya Liverpool, hususani kwenye mataji ya UEFA!

mbona tofauti na hizi data zako?sina timu mimi Fc Barcelona na spain
 
mtaongea xana lakini mwisho wa siku mtatoka vichwa chini. history does not mean any thing, wat matters z how you play da game
 
LINE-UPS - LIVERPOOL v MAN UTD (Kick off 15:30 East African Time)
Liverpool: Reina, Kelly, Skrtel, Agger, Johnson, Gerrard, Allen, Shelvey, Borini, Suarez, Sterling.
Subs: Jones, Jose Enrique, Sahin, Assaidi, Henderson, Carragher, Fernandez Saez.

Man Utd: Lindegaard, Da Silva, Ferdinand, Evans, Evra, Carrick, Giggs, Valencia, Kagawa, Nani, van Persie. Subs: De Gea, Anderson, Hernandez, Welbeck, Scholes, Cleverley, Buttner.
 
Hizo rekodi zako hazijitoshelezi na zimetolewa kishabiki zaidi kuliko uhalisia. Unawezaje kuhesabia hata uefa super cup na ukaacha charity shield? Weka vyote maana vinafanana ili kuondoa bias. By the way mpaka sasa Man U kaizidi Liver trophy moja i.e Man U ana mataji 60 na Liver ana mataji 59 kwa mujibu clouds fm sports extra jana.
 
mimi mpenz mkubwa wa man u lakini simpendi luisi nani maan kazi yake kupoteza tu mipira
 
Refa keshaharibu mchezo......

Mahaba kitu kibaya sana jamani, Refa mpaka anaona aibu........lol
 
Pamoja na Jonjo Shelvey kulambwa kadi.....Liverpool hawajatetereka, bado wanashambulia
 
Liver wanashambulia kama nyuki......

Come on Liverpool.......................YNWA
 
Back
Top Bottom