Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Patashika ya ligi kuu Tanzania Bara VPL, kuendelea leo uwanja wa Namfua Stadium kati ya Singida United na Simba SC.
Katika ligi kuu Tanzania Bara VPL, Singida United wanataka kulipiza kisasi, Huku Simba wanataka kuendelea rekodi yao ya kuchukua ubingwa bila kupoteza mchezo wowote .
Je, Singida United ama Simba SC kuibuka mbabe? Kaa nasi usikose ukaambiwa.. Kumbuka mtanange ni kuanzia saa 10:00 jioni.
Mpira umeanza uwanja wa Namfua Stadium ️.. Singida United 0-0 Simba SC
5' Matokea ni bila kwa bila, mpira ni mkali kwa timu zote mbili uwanja wa Namfua Stadium ️
16' Simba SC wakwenda kwake Mavugo lakini ni Offside ..
18' Kambale anakwenda na mpira kwake Kaseke lakini mpira ni utatoka nje, na unakuwa wa kurushwa kuelekea Singida United
Keni Ali anapiga mbele lakini Mohamad Hussein anazuia na kumpasia Okwii
24' Goo Goo Gooooooaaal Goooooaaaaal Shomari Kapombe anaandika bao la kwanza baada ya kazi nzuri ya Bocco
Pambano ni kali sana uwanja wa Namfua Stadium ️ Singida United 0-1 Simba SC
30' Okwii anapiga mbele lakini anafanyiwa faulo.. Inapigwa lakini haina madhara
31' Batambuzi anapiga shuti kali sana.. Lakini ni goal Kick
33' Ni faulo kuelekea Simba SC.. Inapigwa lakini mpira utatoka nje
Singida United wanashambulia lango la Simba SC.. Lakini mashambulizi yao wanashidwa kuleta matunda
Katikati ya uwanja kwake Mkude, anakwenda kwake Okwii mpira utatoka nje
38' Singida United wanapata kona.. Inapigwa kona lakini inatoka nje na kuwa goal Kick
39' mpira umesimama baada ya mchenzaji Kaseke kupata rabsha.. Ameinuka mpira unaendelea
43' John Bocco yuko chini baada ya kupata rabsha katika mchezo huu wa VPL…
Mpira unaendelea kwake Okwii, kwake Shomari lakini beki wa Singida United anakoa
45+2 ..kuelekea mapumziko katika mchezo huu wa VPL
Naam dakika 45' za kipindi cha kwanza za mchezo wa ligi kuu Tanzania zimemalizika.. Na Simba SC wakiwa mbele kwa goli moja kwa bila.
Singida United 0-1 Simba SC uwanja wa Namfua Stadium ️
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Namfua Stadium ️
46' mpira kama ulivyoanza kipindi cha kwanza.. Ni mashambulizi kwa pande zote mbili.
50' Kaseke anakosa goli la wazi kabisa ilikuwa nafasi nzuri
52' Niyonzima anaingia kuchukua nafasi ya Mavugo upande wa Simba SC
Bocco agonga kichwa lakini golikipa wa Singida United anaokoa
56' Kambale anakwenda kwenye benchi na anaingia Usengimana.. Upande wa Singida United
60' Singida United 0-1 Simba SC, uwanja wa Namfua Stadium ️
63' Salum, Chuku anakwenda kwenye benchi na anaingia E.Sumbi upande wa Singida United
Miraj anakwenda na mpira.. Lakini anapoteza kwake Niyonzima anapiga mbele lakini mabeki wanaokoa
Batambuzi anakwenda.. Anapiga bunduki lakini golikipa Manula anaweka katika himaya yake
70' Singida United wanapata faulo.. Ni eneo hatari.. Inapigwa lakini inakuwa goal Kick
71' Golikipa Manula anapewa kadi ya njano.. Uwanja wa Namfua Stadium ️
74' Ni faulo kuelekea Singida United.. Inapigwa na Bukaba lakini mpira utatoka nje ni wa kurushwa
76' Ndemla anaingia kuchukua nafasi ya Kotei.. Upande wa Simba SC
Mpira uko balance kwa pande zote mbili uwanja wa Namfua Stadium ️ Singida United 0-1 Simba SC
Inapigwa faulo kuelekea Simba SC.. Lakini mchenzaji Mlipili anatokea na kuokoa hatari ile
85' Okwii anakwenda kwenye benchi na nafasi yake aningia Kichuya
Kenny anapewa kadi ya njano. Kwa kujirusha eneo la hatari
Kichuya anapiga shuti kali. Lakini ni goal Kick
Ni faulo kuelekea Simba SC..inapigwa lakini haina madhara
90+4 kuelekea kumalizika mtanange huu wa VPL. Uwanja wa Namfua Stadium ️
Singida United 0-1 Simba SC
90+4' Naam mpira umekwishaaaaaaaaa uwanja wa Namfua Stadium ️. Simba wakitoka kifua mbele kwa goli moja kwa bila dhidi ya Singida United
Singida United 0-1 Simba SC
Asanteni ..Ghazwat
Katika ligi kuu Tanzania Bara VPL, Singida United wanataka kulipiza kisasi, Huku Simba wanataka kuendelea rekodi yao ya kuchukua ubingwa bila kupoteza mchezo wowote .
Je, Singida United ama Simba SC kuibuka mbabe? Kaa nasi usikose ukaambiwa.. Kumbuka mtanange ni kuanzia saa 10:00 jioni.
Mpira umeanza uwanja wa Namfua Stadium ️.. Singida United 0-0 Simba SC
5' Matokea ni bila kwa bila, mpira ni mkali kwa timu zote mbili uwanja wa Namfua Stadium ️
16' Simba SC wakwenda kwake Mavugo lakini ni Offside ..
18' Kambale anakwenda na mpira kwake Kaseke lakini mpira ni utatoka nje, na unakuwa wa kurushwa kuelekea Singida United
Keni Ali anapiga mbele lakini Mohamad Hussein anazuia na kumpasia Okwii
24' Goo Goo Gooooooaaal Goooooaaaaal Shomari Kapombe anaandika bao la kwanza baada ya kazi nzuri ya Bocco
Pambano ni kali sana uwanja wa Namfua Stadium ️ Singida United 0-1 Simba SC
30' Okwii anapiga mbele lakini anafanyiwa faulo.. Inapigwa lakini haina madhara
31' Batambuzi anapiga shuti kali sana.. Lakini ni goal Kick
33' Ni faulo kuelekea Simba SC.. Inapigwa lakini mpira utatoka nje
Singida United wanashambulia lango la Simba SC.. Lakini mashambulizi yao wanashidwa kuleta matunda
Katikati ya uwanja kwake Mkude, anakwenda kwake Okwii mpira utatoka nje
38' Singida United wanapata kona.. Inapigwa kona lakini inatoka nje na kuwa goal Kick
39' mpira umesimama baada ya mchenzaji Kaseke kupata rabsha.. Ameinuka mpira unaendelea
43' John Bocco yuko chini baada ya kupata rabsha katika mchezo huu wa VPL…
Mpira unaendelea kwake Okwii, kwake Shomari lakini beki wa Singida United anakoa
45+2 ..kuelekea mapumziko katika mchezo huu wa VPL
Naam dakika 45' za kipindi cha kwanza za mchezo wa ligi kuu Tanzania zimemalizika.. Na Simba SC wakiwa mbele kwa goli moja kwa bila.
Singida United 0-1 Simba SC uwanja wa Namfua Stadium ️
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Namfua Stadium ️
46' mpira kama ulivyoanza kipindi cha kwanza.. Ni mashambulizi kwa pande zote mbili.
50' Kaseke anakosa goli la wazi kabisa ilikuwa nafasi nzuri
52' Niyonzima anaingia kuchukua nafasi ya Mavugo upande wa Simba SC
Bocco agonga kichwa lakini golikipa wa Singida United anaokoa
56' Kambale anakwenda kwenye benchi na anaingia Usengimana.. Upande wa Singida United
60' Singida United 0-1 Simba SC, uwanja wa Namfua Stadium ️
63' Salum, Chuku anakwenda kwenye benchi na anaingia E.Sumbi upande wa Singida United
Miraj anakwenda na mpira.. Lakini anapoteza kwake Niyonzima anapiga mbele lakini mabeki wanaokoa
Batambuzi anakwenda.. Anapiga bunduki lakini golikipa Manula anaweka katika himaya yake
70' Singida United wanapata faulo.. Ni eneo hatari.. Inapigwa lakini inakuwa goal Kick
71' Golikipa Manula anapewa kadi ya njano.. Uwanja wa Namfua Stadium ️
74' Ni faulo kuelekea Singida United.. Inapigwa na Bukaba lakini mpira utatoka nje ni wa kurushwa
76' Ndemla anaingia kuchukua nafasi ya Kotei.. Upande wa Simba SC
Mpira uko balance kwa pande zote mbili uwanja wa Namfua Stadium ️ Singida United 0-1 Simba SC
Inapigwa faulo kuelekea Simba SC.. Lakini mchenzaji Mlipili anatokea na kuokoa hatari ile
85' Okwii anakwenda kwenye benchi na nafasi yake aningia Kichuya
Kenny anapewa kadi ya njano. Kwa kujirusha eneo la hatari
Kichuya anapiga shuti kali. Lakini ni goal Kick
Ni faulo kuelekea Simba SC..inapigwa lakini haina madhara
90+4 kuelekea kumalizika mtanange huu wa VPL. Uwanja wa Namfua Stadium ️
Singida United 0-1 Simba SC
90+4' Naam mpira umekwishaaaaaaaaa uwanja wa Namfua Stadium ️. Simba wakitoka kifua mbele kwa goli moja kwa bila dhidi ya Singida United
Singida United 0-1 Simba SC
Asanteni ..Ghazwat