OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
leo moderators wapo very calm, careful and humble
wanasoma ramani kwanza wakikurupuka wanakula vichwa kama Ishirini!
leo moderators wapo very calm, careful and humble
Yericko sio mtoto wa Nyerere
Chadomo ni chama cha waoza meno kwahiyo hata wakishinda leo ni halali yao,si wapo nyumbani
Sikusema ni motto, nimesema "wa kwa ukoo wa Nyerere". Wizi ufanywe na Magamba, Kura washindwe "The Gambas" lakini kubisha ubishe wewe, hii ni akili au matope?
Popoooooooozzzzzzzzzzzzzzzz bawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
uongo mtupu, ngoja kdg mtaanza kukimbia c mda
huku tumemaliza! Safi sana ahsante Mungu!
....Live up data Kata ya Kaloleni ....Source Sunrise Radio
kaloleni vituo 12
Chadema CCM
51 25
68 19
67 20
57 25
69 21
60 15
41 21
50 22
54 30
54 15
b2 kituo nitawaletea
Vituo 12 Kaloleni
Ifi fyana fya bha hijhi, fikulwa abha bhabha bhahbo bendelee pakwibha
Dokezo: Anguko la CCM ni la kishindo mno.Kwa haraka haraka Matokeo
Kata ya Elerai C one
CDM 42
CCM 11
CUF 0
Zoezi la kuhesabu kura linatakiwa limalizike mapema kwani shetani ana nguvu sana kunako giza hususan pale anapotambua kuwa ameelemewa kwa kila hali na waumini ndiyo wanaendelea kupiga maombi...
live update ......kaloleni
aicc soweto
chadema ccm
58 18
62 22
44 22
58 22
53 20
40 20
57 18
60 24