mi nasema nafasi ya vanesa ilikuwa awe linah sanga sema jamaa usipofanya nao collabo plus kujuana utasubiri sana ole themba ni balaa ile
mkuu wimbo unaweza ukawa bora kwako, lakini kama haujafanya vyema kimataifa ni sifuri...
Kama wimbo ni mkali, ukipeleka kwenye vituo vya kimataifa utapokelewa, kama ni bora zaidi utafikia hatua ya kuchezwa kwenye charts zao.. Na ukikubalika zaidi ndio tunakuja kuona nominations za nyimbo bora n.k
Unapokuwa unahit from tthe start to the end of the year, unatoa nyimbo zinazokubalika, unafanya matamasha au performance zenye hadhi, video kali kiujumla kila kona ufanye vyema, tunakuja kupata list ya wasanii watano ambao ndio best male nominees na best female
Unapokuja kwenye suala la best live, kwanza kabisa wanaangalia unaperform wapi?? lazima uwe umetoa performance kwenye matukio ya kiheshima, unainfluence ya kuvuta audience, unanguvu ya kutosha unapokuwa kwa stage, dance moves, kuimba(japokuwa sio big deal iwe live-coz ingekuwa hivyo hata performance zao wangelazimu iwe hivyo)