kwa upande wa evolution upigajikura ulikuwa kwa hashtags na website but kwa urahisi wa kuweka hashtag ni asilimia kubwa walifanya hivyo,..
Ndio ubora na heshima ya tuzo unapokuja kwamba tunawasaidia kufanya maamuzi ila wao ndio final ndio maana mtu anaweza asiombe kura akashinda.. pongezi zao kwa hili
Ya Mungu mengi.. Sijafurahi kukosa kwake ila nimefurahi wale wengine sijui watapata wapi ujasiri wa kujisifa wamempa ushindi Davido wakati huyo Vannessa ambaye pia walikuwa wanam'support kakosa. Iwe somo tu kwao..