Kamanda wenu nimefura kwa stress za kufanya ovyo ktk Liki Kuu!Sio ishu,nawaletea live updates mpira mkubwa Mnyama anakipiga na Yanga,Updates FT, SIMBA 1:YANGA 1
yanga ikishindi anabaki nafasi ya pili na atashiriki african conferadation cup mwakani, simba ikifungwa inamaliza ligi katika nafasi ya tano. je umeona kinachotafutwa?
yanga ikishindi anabaki nafasi ya pili na atashiriki african conferadation cup mwakani, simba ikifungwa inamaliza ligi katika nafasi ya tano. je umeona kinachotafutwa?