Kanichekesha huyo mkuu nilo m-quote kuwa ATM wakizubaa tu wanapigwa goli 1 kisha wanakumbana na mabehewa ya morinho wanakosa pa kupita wakafunge na wao
Kanichekesha huyo mkuu nilo m-quote kuwa ATM wakizubaa tu wanapigwa goli 1 kisha wanakumbana na mabehewa ya morinho wanakosa pa kupita wakafunge na wao
Yani chelsea wakifunga tu, ladha ya mpira inaishia hapohapo, tutaanza kuona makontena tu nyuma yamepakiwa, na kupoteza muda. Halafu morinho atashangilia kama zuzu huku akipigapiga kifua
Yani chelsea wakifunga tu, ladha ya mpira inaishia hapohapo, tutaanza kuona makontena tu nyuma yamepakiwa, na kupoteza muda. Halafu morinho atashangilia kama zuzu huku akipigapiga kifua