Live Updates: Azam & Simba Matches

hivi hawa fifa mbona wanadharau sna kuhusu okwi km ingekuwa ni sehemu nyingine wangeshatoa majibu ila kwa kua ni east afrika hasa tz wamekaa kimya
 
ha!!kumbe mnyama alikamuliwa!!!
 
hivi hawa fifa mbona wanadharau sna kuhusu okwi km ingekuwa ni sehemu nyingine wangeshatoa majibu ila kwa kua ni east afrika hasa tz wamekaa kimya

ah, labda nao walishachoka na kuona timu za nchi moja zinavochongeana na kutoa siri zao kwa wapinzani wa nje!
 
Hiyo j,mosi tujimwage sokoine kushuhudia mnyama akidungwa sindano za moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…