uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 14,681
- 20,446
Hivi inakuwaje?update kutoka simba app.
hadi sasa simba yuko nyuma kwa goli moja
_____________
Simba wanapata goli la kusawazisha kupitia kwa Valentino Mashaka
Hii timu nasikia imeshuka Daraja huko Egypt.
Uuuwi
