usifiche kitu anzia na vikao vya kanisani tuwekee humu mkuu.
Pamoja mkuu,makamanda wa chama dume cdm kila kona...usisahau mapicha mkuu.
vikao vya kanisan atakuwekea mkeo
Hapana Leo tulikuwa hatuna vya kanisani mkuu lakini vya madrassa vilikuwepo ataturushia mapichausifiche kitu anzia na vikao vya kanisani tuwekee humu mkuu.
leo kutakuwa na mkutano wa chadema dodoma mjinieneo la msalato nitaendelea kuwapa Up date.sahz wafuasi wa ccm wameleta fujo wameteka kamanda mmoja makamanda walio baki 2naenda kumkomboa.
mwambie hakuna kanisa linalo itwa chadema
Usifiche kitu anzia na vikao vya kanisani tuwekee humu mkuu.
Achana na wazushi we endelea kutueleza kinachojiri mkutanoni mkuu. Makamanda gani wanahutubia huko?
vikao vya kanisan atakuwekea mkeo
sahizi mwenyekiti la tawi anahutubiasahzi kamanda john mnika kishafika na makamanda wengine na kikundi cha ngoma kinaburudisha
Ilikuwa inawenyewe sasahv M4CDodoma inawenyewe kama uamini uliza kilichomkuta lema kule tabata, na mnyika wakati anafungua matawi ubungo. Ni jf walimuokoa kwa kutotoa picha za mkutano
sahizi mwenyekiti la tawi anahutubia