The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,442
- 10,233
Wakuu Salaam;
Leo inapigwa mechi kati ya Fc Bayern ambaye ni bingwa wa UEFA na Sevilla Fc ambaye ni bingwa Uefa Europa league katika kutafuta bingwa wa Uefa Super Cup.
Mechi hii inapigwa katika dimba la Puskás Aréna, Budapest, Hungary.
Kila timu imetoa orodha ya wachezaji watakaohusika katika mechi kama ifuatavyo;
Hivyo, tupeane updates zote zinazohusiana na mechi hii kutoka kwa wanaoangalia au kufatilia na pia kama una link kwa wale wa online unaweza share hapa.
Unaweza weka ubashiri wako pia.
Mechi inaanza saa 4:00pm usiku kwa majira ya Afrika Mashariki.
Leo inapigwa mechi kati ya Fc Bayern ambaye ni bingwa wa UEFA na Sevilla Fc ambaye ni bingwa Uefa Europa league katika kutafuta bingwa wa Uefa Super Cup.
Mechi hii inapigwa katika dimba la Puskás Aréna, Budapest, Hungary.
Kila timu imetoa orodha ya wachezaji watakaohusika katika mechi kama ifuatavyo;
Hivyo, tupeane updates zote zinazohusiana na mechi hii kutoka kwa wanaoangalia au kufatilia na pia kama una link kwa wale wa online unaweza share hapa.
Unaweza weka ubashiri wako pia.
Mechi inaanza saa 4:00pm usiku kwa majira ya Afrika Mashariki.