mechi hii ni sawa mazoezi ya timu ya majini meusi na villa squad.
1.Kasejatupe list ya majina walioanza kipindi cha kwanza
tupe list ya majina walioanza kipindi cha kwanza
Mwadini Ali.mpira kipindi cha pili ndo kinaanza makipa wote wamebadilishwa. congo wamemuingiza kidiaba na tanzania wamemuingiza kipa namba moja wa azam jina limenitoka. kipindi cha pili kishaanza.
mbwana samata hajaitwa.
Nsajigwa na Husein Javu.kuna mabadiliko yamefanyika kwa upande wa tanzania.Wameingia;
1.mwadini ally (kipa)
2.Uhuru suleiman
3.Nsa Job
4.nassor said choro.
walio toka bado sijawapata. ntawapeni updates nikipata but kaseja na Ngasa wametoka.
Nsajigwa na Husein Javu.
Wazir Salum sure boy wameingia pamoja na Jonas Gelard baada ya Mwinyi Kazimoto na Abdi Kasim kutoka.asante mkuu. Husein javu nafasi yake itakuwa imechukuliwa na Wazir salum. kuna mtu nmemuona ndani kama wazir. naomba unijulishe mkuu.