Inaonekana wameamua kuonesha mechi ya wanaCOSAFA original Angola vs Malawi kwa sababu za kibiashara.
Uwezo wao ni kuonesha mechi moja mubashara.
wameniudhi sanaKwakweli tumeshaikosa hii mechi..maana kote kimya
No link ss9 wameipiga pembeni wanaonyesha ya malawi na angola. Ila bado bila bila. Check second to seclnd results via BESCORE APPAnybody with the link...Kindly help please wengine tuko mbali na tunapenda nchi yetu regardless ya madudu ya viongozi wetu wanavyodumaza soka letu
Wapo wameingia moja kwa moja robo fainali,watacheza na mshindi wa kundi la TanzaniaWANATAKA KULETA HUJUMA WATUTOE WAGENI WAALIKWA, HIVI SOUTH AFRICA WAPO SHIRIKISHO LIPI MBONA SIWAONI COSAFA?