Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Karibuni kwa michango na mezzo yenu Wana JF tukiakisi matokeo ya UCHAGUZI mdogo Arumeru na safari ya demokrasia ya ukweli nchini
nani kashinda?
Hii nimeipenda Mkuu usingizi bwanaNipo nawafuatilia live toka huko Arumeru ila jambo moja tu linanitatanisha kuhusu facial expression yako wewe YAHAYA M. Nahisi kama hujapenda chadema kushinda uchaguzi huu.!!
Sema basi "PEOPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS...!!!!
Hii nimeipenda Mkuu usingizi bwana
mkuu wa kaya baada ya kukicost chama kwa kukaa kimya na mijambazi yake kina ngeleja,luhanjo,uttoh,ekelege,mtasiwa,nyoni na mafisadi wengine ambao bado hawajahukumiwa mpk leo pamoja na mitume kibao iliyoundwa na bunge na kutoa mapendekezo ya hukumu dhidi yao,sasa naamini wanatafuta mchawi lkn kwa mtanzania wa leo atatoa hukumu iliyoshindwa kutolewa na serikali kwa kupitia sanduku la kura,hizi ndizo hasira za watanzania kwa serikali inayoshindwa kutimiza wajibu wake, VIVA CDM