LIVE-Marathon Olympic-Tanzania karata yetu ya mwisho

Hivi wabongo wanafanyiaga mazoezi wapi? mbona sijawahi kukutana nao maeneo yoyote wakifanya mazoezi?
 
mbona wabongo siwaoni jamani nyie? au hawajavaa jezi yetu??
 
leo lazima tuchukue gold yetu,si wameipeleka UK ili tukagombanie kwa kukimbizana,sasa leo ndio leo hata kwa uchawi lazima tubebe gold yetu kutoka mwanza
 
Kundi la mbele kuna waKenya 3, Ethiopia 2, Eritrea 1 na Brazil 1. wako km. 15 sijaona Mbongo akionyeshwa.
 
The Boss seriously, dont
be so pessimistic. OK on second thought tutapata medali kweli? Angalau
kabronze.

Naangalia ktk ss 4 simuoni mbongo kabisaaaa! wametoa orodha ya watu 30 wliopo mbele hata hayumo! sijui kabana sehemu anakunywa maji or!
 
Back
Top Bottom