Live kutoka mtaani kwetu!

Live kutoka mtaani kwetu!

tatizao la huyu Mkombozi atakuwa mchagga ambapo ni kiswahili kiliwapiga chenga
huwezi kusema gari linawaka na ukalipanda UKIUNGUA?
km hakuna Fire-extinguisher teremka panda lingine
Dr Slaa kwaambieni ukweli vijana mnabebwa tu na hamjui mnakoenda
mwenzenu kapanda Pipa na haliwaki linapepea
11988613_10203657337994336_3016629590105493389_n.jpg

 
Safi sana. Yeye kapanda pipa wazalendo watatembea kwa miguu bila senti ya kuhongwa ili kupata mabadiliko.
 
tatizao la huyu Mkombozi atakuwa mchagga ambapo ni kiswahili kiliwapiga chenga
huwezi kusema gari linawaka na ukalipanda UKIUNGUA?
km hakuna Fire-extinguisher teremka panda lingine
Dr Slaa kwaambieni ukweli vijana mnabebwa tu na hamjui mnakoenda
mwenzenu kapanda Pipa na haliwaki linapepea
11988613_10203657337994336_3016629590105493389_n.jpg


Heri yako si mchagga na unajua kiswahili.Kwenye nyekundu tafadhali unapandaje pipa?Pipa la maji au????????????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom