Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,553
....ungeanza na 'aya' inahomruhusu !Kwani ni aya ipi inayomkataza muislamu kufuturushwa na mkristo?
Kufuturu ni 'Ibada', sasa ibada ikiendeshwa na Makonda inakuwaje !?
....ungeanza na 'aya' inahomruhusu !Kwani ni aya ipi inayomkataza muislamu kufuturushwa na mkristo?
Hiyo picha ya 2 jamaa kama hataki vile kukumbatiwa. Afu jamaa kamshika kiuno kabisa.Picha mbalimbali kutoka katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameandaa Futari iliyohudhuriwa na watu mbalimbali, wakiwemo Viongozi wa Dini ya Kiislam, Viongozi wa Serikali, pamoja na wa Vyama vya Siasa.View attachment 1107667View attachment 1107669View attachment 1107670
Hahahaa........ Wewe utakuwa kobe!Acha jazba
Anahisi ita editiwaHiyo picha ya 2 jamaa kama hataki vile kukumbatiwa. Afu jamaa kamshika kiuno kabisa.
Batili tupu haya mambo ni kinyume na dini ya uislamu kabisa.Tangu lini mkristo akamfuturisha muislam ni aya gani katika Quran au hadithi sahihi iliyoelekeza hivyo?
Masheikh wanauelewa uislam kamwe hawawezi hudhuria tamasha hilo
Kuna watu wanatumia nguvu kubwa sana kuonekena ni wasafi mbele ya jamii na kutumia shida za watu kama ngazi ya kisiasa
shule, hospitali, na vyuo vina uhusiano gani na 'ibada' ya kufuturisha !?Hivyo waislam wasisome shule za wakristo vyuo na wasiende hospital zao pia?
......wamealikwa Dinner (show off) badala ya 'ibada ya Iftar'Kwanini hawana furaha kabisa,? View attachment 1108091
JIBU KWANZA IBADA NI NINI KWA MUJIBU DINI YA KIISLAM?shule, hospitali, na vyuo vina uhusiano gani na 'ibada' ya kufuturisha !?
Hao walikuwa Dinner out' na si Iftar
Jee kuna muislam anayemfuturisha mkristo wakati wa kwaresma?funga ni ibada kila dini ina ibada zake.Kumbuka kuna dua kabla ya kufuturuMkristo anaweza kumfuturisha muislamu kama chakula hicho ni halali isiwepo chakula haramu kama nguruwe na nyama isiochinjwa ukithibitisha chakula halali unakula ina kubalika hoteli ngapi za wakristo ukiwa safari unakula nini tofauti yake. ila sema yeye hapati thawabu kwa kuwa ni mkristo ila mungu anamlipa mema yake hapa duniani tena kwa taarifa yako hutuba ya ijumaa ya juzi tarehe24/5/2019 sheikh kazungumzia mkristo unaweza kumfuturisha miuslamu ila isiwepo pombe nguruwe nk vya haramu waislamu tuhudhurie darsa misikitini mnawahi mipira ya manchesta
Jambo lolote la Kiislaam, lililo amrishwa kufanywa kisheria (au kwa fatwa) kwa ajili ya kuabudu (ibada) au kujipendekeza kwa Mwenyezi Mungu.JIBU KWANZA IBADA NI NINI KWA MUJIBU DINI YA KIISLAM?
Watu kama nyie mtaani ndo maisha yanawagonga kwelikweli. Nakuonea hurumaMbona mbio kama unaharisha...Hebu tulia uje na habari inayoeleweka...Lazima utakuwa umesoma shule za kata au chuo cha kata SAUT, UCC, St Joseph and the likes wanaotoa products za hovyohovyo ambao hamuwezi hata kuandika.
DAH...sasa kakosea wapi au wewe umesoma Makerere? kumwambia mtu kakosea au kumkosoa mtu bila kumuonyesha wapi alipokosea NADHANI mkosoaji utahitajika ujiangalie wewe kwa makini.Mbona mbio kama unaharisha...Hebu tulia uje na habari inayoeleweka...Lazima utakuwa umesoma shule za kata au chuo cha kata SAUT, UCC, St Joseph and the likes wanaotoa products za hovyohovyo ambao hamuwezi hata kuandika.
Hapa itabidi tuanzishe thread mapya hahahahahahahDAH...sasa kakosea wapi au wewe umesoma Makerere? kumwambia mtu kakosea au kumkosoa mtu bila kumuonyesha wapi alipokosea NADHANI mkosoaji utahitajika ujiangalie wewe kwa makini.
Hivyo vyuo ulivyotaja una uhakika vinatoa Product mbovu? Ebu sema umetoka chuo gani halafu tupambane kwa HOJA maana nimetoka kwenye MOJA ya vyuo ulivyotaja..
Matusi sitaki.. (nakusubiri)
Hivi utaandaeje futari wakati wewe mwenywe hijafungaMbona kwaresma sikusikia tumbili hizi?!
Mkristo anaandaje ftar ? Hyo haiswii. Hiyo héla si angeeandaa chakula kwa watumishi au bodaboda au hata wadau wa maendeleoKaribuni sana!
Maendeleo hayana vyama!
Picha mbalimbali kutoka katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameandaa Futari iliyohudhuriwa na watu mbalimbali, wakiwemo Viongozi wa Dini ya Kiislam, Viongozi wa Serikali, pamoja na wa Vyama vya Siasa.
View attachment 1107667View attachment 1107669View attachment 1107670