johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,894
Karibuni sana!
Maendeleo hayana vyama!
Picha mbalimbali kutoka katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameandaa Futari iliyohudhuriwa na watu mbalimbali, wakiwemo Viongozi wa Dini ya Kiislam, Viongozi wa Serikali, pamoja na wa Vyama vya Siasa.
Maendeleo hayana vyama!
Picha mbalimbali kutoka katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameandaa Futari iliyohudhuriwa na watu mbalimbali, wakiwemo Viongozi wa Dini ya Kiislam, Viongozi wa Serikali, pamoja na wa Vyama vya Siasa.