List ya wenye vyeti incomplete

List ya wenye vyeti incomplete

msangi360

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
283
Reaction score
309
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu, naomba kwa yoyote mwenye list ya majina ya wenye vyeti incomplete katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai au Mkoa wa Kilimanjaro anisaidie.

Akhante
 
Limejaribu ku google naona majina ya watumishi katika taasisi tu
 
Na huyu mtu naetaka kumwangalia ni mwalimu,
 
Nataka kumwangalia Dada angu anatatizo la cheti cha form 4
 
Hajapata salary ya mwezi wa sita na wa saba, sasa amefatilia anaambiwa jina lake lipo kweny list ya incomplete
 
Dada yako hana mume wa kuhangaikia issue zake au yeye mwenyewe hajui wapi pa kupata hizo details?
Au wewe bado ni kula kulala kwa dada yako?
Usipanic nijibu kwa upole.
Hapana, yeye hajui aanzie wapi? Nilienda nae HQ NECTA wakasema wanashughulikia lakini bado tatizo lipo palepale, ameambiwa ajaribu kuangalia jina lake kama lipo kwenye list ya wenye vyeti incomplete that's why nahitaji kama kuna mwenye hiyo list ya halmashauri ya wilaya ya Hai au mkoa wa Kilimanjaro
 
We dogo huyo sister wako alikuwa hajikombi kwa wakubwa tu,kwenye halmashauri niliyomo kuna mzee hana vyeti vya form 4,na anakula mshahara wa mtu mwenye digrii kwa fan ambayo hata hajasomea.kila mtu anajua na anapeta tu. Ishu amemweka mkurugenzi mfukoni kila dili akipiga anampelekea hela.halafu hata kazi hajui na amesababisha migogoro na hasara kwa halmashauri kibao.ila wanamlinda.so mwambie sister ako ajiongeze, ampe kidogo mkurugenzi aone kama hajarudishwa kwenye payroll.ukijikomba kwa wakubwa hutumbuliwi ng'oo. Tena mama mkurugenzi anapenda hela kama hana akili nzuri.
 
Hapana, yeye hajui aanzie wapi? Nilienda nae HQ NECTA wakasema wanashughulikia lakini bado tatizo lipo palepale, ameambiwa ajaribu kuangalia jina lake kama lipo kwenye list ya wenye vyeti incomplete that's why nahitaji kama kuna mwenye hiyo list ya halmashauri ya wilaya ya Hai au mkoa wa Kilimanjaro
Sasa shemeji si umwambie dada yako aende kwa afisa utumishi wa halmashauri husika ili akapate hiyo orodha kwa haraka zaidi
 
Dada yako hana mume wa kuhangaikia issue zake au yeye mwenyewe hajui wapi pa kupata hizo details?
Au wewe bado ni kula kulala kwa dada yako?
Usipanic nijibu kwa upole.
Maswali yako chokonozi, 'af yameenda shule, lazima awe mpole na akujibu kistaarabu.

Ujue neno dada ni mtambuka!
Neno dada linadharauliwa sana katika matumizi yake.

Na kuna baadhi ya maneno mengine pia ya kinasaba kama mjomba(uncle), shangazi (aunt), ama mamdogo!

Wengi hupenda kuyatumia kuwaita mahawara zao au wapenzi wao.

Ukiona mtu kakomaza mshipa wa shingo kuita Aunt au uncle kiulainilaini bila kukazia, tilia shaka kwa kumwangalia usoni, utakutana na tabasamu la huba.

Sasa na huyo kakazana dada, dada! Hana mme!
 
Ninayo ila kwa bahati mbaya nimejaribu ku attach imeshindikana sasa sijui nakusaidiaje
 
Hajapata salary ya mwezi wa sita na wa saba, sasa amefatilia anaambiwa jina lake lipo kweny list ya incomplete
Sasa si apeleke vyeti upya kama anavyo, mbona case ndogo tu hii.
 
Ninayo ila kwa bahati mbaya nimejaribu ku attach imeshindikana sasa sijui nakusaidiaje
attach File ipo hapa chini baada ya Post Reply. Preview inafuata
huko Hai kuna matatizo juzi tu kuna post ya Afisa Elimu Wilaya usijekuta wanamuwinda
kwanini mlalamikaji usitupe hilo jina la Sister?
 
attach File ipo hapa chini baada ya Post Reply. Preview inafuata
huko Hai kuna matatizo juzi tu kuna post ya Afisa Elimu Wilaya usijekuta wanamuwinda
kwanini mlalamikaji usitupe hilo jina la Sister?
Nimefanya hivyo ndugu ila imegoma, yamkini tatizo liko kwangu sasa sijui huyu mwenzetu nimsaidieje
 
Back
Top Bottom