mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,124
- 1,746
- Thread starter
- #41
kuwa poor inategemea na mkataba umesign vipi,Hamisa mobetto dstv?Darling hair?
Kuna watu hapo nimeona mikataba brand kubwa but still wako very poor why?
Mzee Majuto Hadi matibabu ilikuwa shida..
Watu wa Kati wanapiga sana?
DStv nimeona kama Paula kajala now au??