List of Applicants with Multiple Selection and Their Allocation into ONE Institution

ENANTIOMER

JF-Expert Member
Sep 22, 2014
1,419
804
Applicants should note that the institution where they are allocated are the once they are supposed to report. For those who have applied for student loan if they are granted
then their loan will be channelled through the same institution. If an applicant prefer to go to different institution, they are supposed to follow TCU transfer procedures which is
availlable on TCU website


 

Attachments

  • Multiple 1.pdf
    470.3 KB · Views: 1,044
Mazingaombwe ya tcu hayaishi aisee.. Sijui hii ni epsode ya ngapi!
Mara transfer mara sijui nini duuh..
 
Mazingaombwe ya tcu hayaishi aisee.. Sijui hii ni epsode ya ngapi!
Mara transfer mara sijui nini duuh..

Hii series ya TCU ni ndefu zaid ya 24 hours....yaan bandika bandua,ikitoke episode hii inaingia hii
 
ni shidaa! ila bora wametoa mapema ili watu wajue wataenda wapi!

Sasa mkuu hivi hao vijana ni wale walioaply directly kwenye vyuo na tcu in both hadi wakapelekea multiple selections au ni makosa ya tcu wenyewe wakawachagua vyuo zaidi ya kimoja? Ufafanuzi please
 
Hii series ya TCU ni ndefu zaid ya 24 hours....yaan bandika bandua,ikitoke episode hii inaingia hii

Hahaha mkuu kweli ni shida! Ngoja tusubirie epsode nyingine kama hatutasikia kuwa posts za vijana zimefutwa so vijana waanze kuaply upya..
 
Sasa mkuu hivi hao vijana ni wale walioaply directly kwenye vyuo na tcu in both hadi wakapelekea multiple selections au ni makosa ya tcu wenyewe wakawachagua vyuo zaidi ya kimoja? Ufafanuzi please

hawajaeleza chochote kuhusu hilo. ila kwa miaka mingi, wanaochaguliwa zaidi ya mara moja ni wale wanaoomba kupitia jia zaidi ya moja. unakuta mtu kaomba kupita cas alafu huyohuyo anaomba kupitia chuo husika. chamsingi ni kuangalia kama jina lako lipo au la!. kama unatumia cm, ni bora ukaomba msaada kwa wadau!
 
wakati wengine wana div1&2 zao nzuri tu wamekosa first round,kumbe kuna wengine cas imewapa vyuo zaidi ya kimoja kuziba bahati za wenzao..hivi cas huwa ipo automatic? au huwa tunafanya aplctn automatically bt selections done manually???...
 
hawajaeleza chochote kuhusu hilo. ila kwa miaka mingi, wanaochaguliwa zaidi ya mara moja ni wale wanaoomba kupitia jia zaidi ya moja. unakuta mtu kaomba kupita cas alafu huyohuyo anaomba kupitia chuo husika. chamsingi ni kuangalia kama jina lako lipo au la!. kama unatumia cm, ni bora ukaomba msaada kwa wadau!

samahani natumia simu isiyo na pdf so naomba unitajie idadi yao hao multiple selected aplcts
 
wako 1961 aplcts


dah ni wengi mkuu hivi na wale waliotupwa nje ya first round tcu ikajifanya eti imewaombea kwny vyuo vya afya ili wachaguliwe tena kwny koz zao za mwanzo mchakato umeishia wapi??mbona wengi wao wamefanya 2nd round na majina yao tunayaona kwny vyuo walivyoomba 2nd round???? au ndo hao wamekuwa multiple selected mkuu
 
dah ni wengi mkuu hivi na wale waliotupwa nje ya first round tcu ikajifanya eti imewaombea kwny vyuo vya afya ili wachaguliwe tena kwny koz zao za mwanzo mchakato umeishia wapi??mbona wengi wao wamefanya 2nd round na majina yao tunayaona kwny vyuo walivyoomba 2nd round???? au ndo hao wamekuwa multiple selected mkuu

kuna watu 7 niliwafanyia second selection na wakachaguliwa. wote hawapo kwenye hii list. wa second selection atakuepo kwenye list, pale ambapo atakua na tatizo kama ya hao walioko kwenye listi
 
kuna watu 7 niliwafanyia second selection na wakachaguliwa. wote hawapo kwenye hii list. wa second selection atakuepo kwenye list, pale ambapo atakua na tatizo kama ya hao walioko kwenye listi

shukrani mkuu dogo alifanya 2nd round japo kimagumashi jina lipo bsc chemistry unvst f bagamoy ila hataki kwenda so kesho ataenda kufanya transfer aende japo pale kiu dar bachelor f pharmacy..alisoma cbg ana dv2.9 gs D,chem B, bio B,geo B,bam C..,tcu walimkata maini kabisa dah
 
shukrani mkuu dogo alifanya 2nd round japo kimagumashi jina lipo bsc chemistry unvst f bagamoy ila hataki kwenda so kesho ataenda kufanya transfer aende japo pale kiu dar bachelor f pharmacy..alisoma cbg ana dv2.9 gs D,chem B, bio B,geo B,bam C..,tcu walimkata maini kabisa dah

safari njema. mungu amsaidie afanikiwe!
 
wakati wengine wana div1&2 zao nzuri tu wamekosa first round,kumbe kuna wengine cas imewapa vyuo zaidi ya kimoja kuziba bahati za wenzao..hivi cas huwa ipo automatic? au huwa tunafanya aplctn automatically bt selections done manually???...

Hivi kwanini watu mnapenda kulalamika bila kufanya utafiti japo kidogo? hao walioko kwenye hiyo list ni wale walioapply kwa direct vyuoni kisha wakaapply kwa njia ya CAS na wengine ni wale walioappy direct vyuoni chuo zaidi ya kimoja! ukifungua hiyo list wameindicate kila kitu, vyuo ambavyo mtu alichagua, na mode of application aliyoitumia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom