Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
list mpya imetangazwa leo na TANZANIA YETU imeshuka kwa nafasi mbili zaidi hadi 139.
sasa Tanzania ni nchi au kisiwa??bora hata mongolia.
Usishangae itaendelea hvyo mpk kufika 150
list mpya imetangazwa leo na TANZANIA YETU imeshuka kwa nafasi mbili zaidi hadi 139.
mimi naona tujikite kuimarisha Twiga stars.haya mengine tuyaache tu..
Usishangae itaendelea hvyo mpk kufika 150
mbona Zambia wameweza..sis tuna nini wajameni..
Nchi za Africa zilizonufaika kwa kupaa kwa kiasi kikubwa kutokana na matokeo ya AFCON 2012 ni: Zambia imekuwa ya 43 kwa kuruka nafasi 28, Mali ya 44 kwa kuruka nafasi 25, Gabon ya 45 kwa kuruka nafasi 46 na Equatorial Guinea ya 110 kwa kuruka nafasi 41
Haya mengine yatakuja kwa ziada siyo