Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Hayo ni kwa mujibu bungeni leo,Lissu akasema iyo barua inayomtaja chenge na idrisa ilikuwa addressed kwa attorney general je mnaitaji ushaidi gani kuwaburuza mahakamani hawa jamaa.Nami nongezea kama hamna ushaidi kwa nini mnataka ela izo ziludi tz?shenzi kabsaa suala liko obvious