Ofisi yetu ya Kanda ya Kasikazini iliyoko Arusha imepigwa moto na kuharibiwa siku ya kuamukia kwa ujio wangu Arusha. Pamoja na tukio hilo ratiba ya leo haijabadilika. Hakuna kiwango chochote cha kigaidi wala vitisho kitakacho zuia tsunami la mabadiliko Tanzania. Tundu Lissu.
Tundu Lissu: Tutaenda kufanya mkutano wetu wa udhamini hapo hapo, kwenye ofisi yetu ambayo wamefanya vitendo vyao vya kigaidi. Tukutane Arusha.
#SasaBasi #NguvuYaUmma #TunduLissu2020.
Tundu Lissu: Tutaenda kufanya mkutano wetu wa udhamini hapo hapo, kwenye ofisi yetu ambayo wamefanya vitendo vyao vya kigaidi. Tukutane Arusha.
#SasaBasi #NguvuYaUmma #TunduLissu2020.