fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,891
- 2,367
Mkuu hakuna cha ukibaraka wala nini
Hata mimi nilikuwa nashabikia chadema lakini kile walichofanya 2015 nimeachana kabisa na ushabiki wa vyama.
Siku mtakapojitambua na kuacha kupelekeshwa ndio utakuwa mwisho wa ccm
Ila mkiwa hivi mnapelekeshwa mara lowassa mara membe upinzani hautakuja fanikiwa kamwe
Hata mimi nilikuwa nashabikia chadema lakini kile walichofanya 2015 nimeachana kabisa na ushabiki wa vyama.
Siku mtakapojitambua na kuacha kupelekeshwa ndio utakuwa mwisho wa ccm
Ila mkiwa hivi mnapelekeshwa mara lowassa mara membe upinzani hautakuja fanikiwa kamwe
Hawa ni vibaraka wanufaika wa huu utawala hivyo wao kila kitu kwao ni sawa tu yakiwemo yale ya kijinga na ya kipuuzi yanayoendelea hivyo tuwapuuze tu.