Lissu hit the bull's eye - acheni porojo

2kimo

JF-Expert Member
Jan 23, 2014
2,029
2,071
Lissu, TLS, UKAWA na allies wanajizungusha sana kuelezea ukweli na ndio imekuwa tatizo kubwa sana kwetu.
Hawa jamaa na nyimbo zao za katiba mpya, muda wote wanaodai katiba mpya lkn ndani ya nafsi wanataka vitu viwili 2.
  1. Tume huru ya uchaguzi
  2. Matokeo ya uraisi kuweza kupingwa mahakamani
Sasa sijui kwanini wanajizungusha, pelekeni Ombi bungeni na ipitishwe hati ya dharura kama sheria nyingine zinavyokuwa amended au kutungwa.
Katiba mpya ni ngumu mno kupatikana sababu ya entanglement with issues za union, huwezi kuzungumzia kipengele cha muungano bila ya kuanzisha mjadala usioisha. Kwa sasa muungano sio tatizo kubwa, issue ni demokrasia na jinsi ya kumpata raisi.
Huwezi kumvua madaraka raisi aliyepo madarakani kwa kumuomba apitishe sheria ya kujipunguzia mamlaka, Ila ukishamuwekea uncertainty kwenye ushindi wa uchaguzi, definitely atakuwa mtumishi mwema kwa umma.

TLS na wabunge wa ukawa, nendeni mkadai tume huru na kuchallenge matokeo ya raisi. Vingine mtakuja kuvifanya mkiingia madarakabi
 
Kwa bunge tulilonalo kwa sasa, huwezi kupeleka mabadiliko ya sheria au muswada wa sheria kama wewe sio waziri.

Bunge limejing'oa meno, kwa sasa lazima litafuniwe kila kitu
Kwa hiyo ni sawa na debate club?
Kuna sababu ya kujiuliza kwanini tunapanga misululu mirefu siku za uchaguzi!
Anyway hata nje ya bunge shinikizo lifocus kwenye mabadiliko hayo na sio na kuwa vague Hadi watu hawajui wanataka nini!
 
Pale nikijiweni hakuna lolote lamaana ila kupitisha yahovyo yamaana wanayapuuza.

Chama hiki cha makinikia nishiida
 
Hata katiba ya Kenya na nchi zingine zenye katiba nzuri ukilinganisha na hii ya kwetu kama Benin, Botswana, Ghana, Guinea, Mali, Nigeria, Senegal, South Africa nk, walipata hizo katiba baada ya viongozi wao kukiri kwamba hawatatawala milele.

Hapa kwetu viongozi wetu hawakubali kuwa they are immortal na kwamba ipo siku hawatakuwepo, either madarakani au duniani. Hapo ndipo tatizo lilipo hasa.

Wanachukulia swala la urais kama ni swala la kufa na kupona, hawana tofauti na mchuuzi anayeamini ktk ile falsafa ya 'heri punda afe lkn mzigo ufike', anashindwa kuelewa kuwa kuna biashara hata baada ya punda kufa.

Madhambi yanayofanywa na watawala wakiwa madarakani inawafanya wajihisi very unsafe wanapokuwa wamepokonywa
madaraka na wapinzani na hata pamoja na kulifamu hilo lkn bado hawawezi kutumikia wananchi kwa misingi ya haki.
 
2kimo: Kinachonishangaza Tanzania ni pale ambapo bado kuna watanzania wanaoamini kwamba wana bunge huru kufanya haya unayoyasema. Kumbe na wewe umo miongoni mwa wanaoamini kisichokuwepo! Si ulimsikia Magu akimuagiza Spika kwamba asibabaishwe na wabunge wa upinzani na awashughulikie ndani ya bunge na yeye awashughulikie nje ya bunge. Lakini kwa huzuni na masikitiko makubwa bado wewe unaaamini una bunge lenye meno ya kung'ata hiki usemacho. Pole! Tz bado tuna safari ndefu ya kufuta ujinga. Kumbe na wewe bado mjinga kiasi hicho!
 
..nashangaa kwanini Prof.Kabudi hapeleki mswada wa kubadilisha sheria zetu za Uchaguzi.

..Prof alikuwa kwenye tume ya Warioba na moja ya mapendekezo ya tume hiyo ni kupatikana kwa tume huru ya uchaguzi.

..
 
2kimo: Kinachonishangaza Tanzania ni pale ambapo bado kuna watanzania wanaoamini kwamba wana bunge huru kufanya haya unayoyasema. Kumbe na wewe umo miongoni mwa wanaoamini kisichokuwepo! Si ulimsikia Magu akimuagiza Spika kwamba asibabaishwe na wabunge wa upinzani na awashughulikie ndani ya bunge na yeye awashughulikie nje ya bunge. Lakini kwa huzuni na masikitiko makubwa bado wewe unaaamini una bunge lenye meno ya kung'ata hiki usemacho. Pole! Tz bado tuna safari ndefu ya kufuta ujinga. Kumbe na wewe bado mjinga kiasi hicho!
Ungeweza tu kusema bila ya kutumia lugha za kukera na ungeeleweka.
Nadhani Moja ya vitu vinavyoiharibia JF heshima yake ni haya matumizi ya lugha za kejeli, matusi au zile zenye kukera.
Point yako ni very valid, lkn unawezekana wasomaji Wengi wakaiachia njiani.
Hili jukwaa linapaswa kusimama kama kioo cha JF, then tukienda forums nyingine upo uhuru wa kutumia lugha nyingi tena wakati mwingine bila ya "stara kubwa"
 
Back
Top Bottom