Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,762
- 27,497
Profesa Kitila Mkumbo ana-imply kwamba CUF ya Profesa Lipumba na nje ya UKAWA itakuwa chama imara.
Kwa sababu anajua ni hoja uchwara isiyokuwa na msingi wowote katika hali halisi, Profesa Kitila Mkumbo anaongeza a rider kwamba haya ni maoni yake tu, sio lazima yawe ni 'facts.' Kwa nini msomi huyu anayesifika anatoa maoni without any basis in facts??? Ni usomi gani huu???
Profesa Kitila Mkumbo sio mjinga kiasi hicho, ni msomi na mtu mwerevu. Anajua what the facts are lakini hataki kuzisema kwa sababu they are inconvenient facts.
What are these inconvenient facts? ?? Ni hizi hapa: CUF ya Profesa Lipumba ilikuwa haiendi popote politically. Kilele cha CUF ya Lipumba ilikuwa Uchaguzi Mkuu wa '05 alipopata kura milioni 1.8. Baada ya hapo it's all downhill, by '10 Profesa Lipumba alipata kura laki 6, a whopping 66% drop.
Kwenye ubunge, CUF ya Profesa Lipumba ilikuwa haijawahi kupata wabunge zaidi ya wawili Bara. Which is to say, CUF iliyokuwa inamfichia Lipumba ni CUF ya Zanzibar ambayo haijawahi kushindwa uchaguzi Zanzibar tangu '95.
Ni ujambazi wa maCCM tu ndio ambao umewanyima CUF ya Zanzibar ushindi miaka yote hii. Kwa mara ya kwanza, kwa sababu ya kushirikiana na CHADEMA, CUF ya Tanganyika ilipata viti kumi vya ubunge Tanganyika.
Hii ni idadi kubwa ya wabunge wa kuchaguliwa kuliko wote wa '95, '00, '05 na '10 combined. Ya Zanzibar yanafahamika. These are indisputable facts, sio maoni. CUF ya Lipumba itakuwa na nguvu kuliko hizi zilizotokana na UKAWA? ??
Ni mjinga tu anayeweza kusema au kufikiria hivyo. Ni ujinga huo huo walio nao hao wanaomtumia Lipumba wakifikiria kwamba ataua UKAWA na CUF Zanzibar.
Kama uchaguzi wa mwaka jana is any guide, Profesa Lipumba akigombea hatakuwa tofauti na mgombea wa ACT ambaye licha mahela yote ya maCCM ili agawe kura za UKAWA, hakufikisha hata laki moja. Kwenye ubunge hatapata hata mmoja mmoja au wawili ambao alikuwa anawapata miaka ya nyuma.
Lipumba amebakia politically a walking corpse, bila mapolisi na usalama wa taifa na maCCM hawezi kuhutubu mkutano wa kitongoji.
He's finished. Hata mumpambe namna gani he's politically a dead man walking.
Anachokifanya hakitatuumiza in any meaningful way, hasa hasa kinatuondolea utando wa buibui kwenye fikra za wengi kwamba bado kuna upinzani nje ya UKAWA. Hakuna.
Kwa sababu anajua ni hoja uchwara isiyokuwa na msingi wowote katika hali halisi, Profesa Kitila Mkumbo anaongeza a rider kwamba haya ni maoni yake tu, sio lazima yawe ni 'facts.' Kwa nini msomi huyu anayesifika anatoa maoni without any basis in facts??? Ni usomi gani huu???
Profesa Kitila Mkumbo sio mjinga kiasi hicho, ni msomi na mtu mwerevu. Anajua what the facts are lakini hataki kuzisema kwa sababu they are inconvenient facts.
What are these inconvenient facts? ?? Ni hizi hapa: CUF ya Profesa Lipumba ilikuwa haiendi popote politically. Kilele cha CUF ya Lipumba ilikuwa Uchaguzi Mkuu wa '05 alipopata kura milioni 1.8. Baada ya hapo it's all downhill, by '10 Profesa Lipumba alipata kura laki 6, a whopping 66% drop.
Kwenye ubunge, CUF ya Profesa Lipumba ilikuwa haijawahi kupata wabunge zaidi ya wawili Bara. Which is to say, CUF iliyokuwa inamfichia Lipumba ni CUF ya Zanzibar ambayo haijawahi kushindwa uchaguzi Zanzibar tangu '95.
Ni ujambazi wa maCCM tu ndio ambao umewanyima CUF ya Zanzibar ushindi miaka yote hii. Kwa mara ya kwanza, kwa sababu ya kushirikiana na CHADEMA, CUF ya Tanganyika ilipata viti kumi vya ubunge Tanganyika.
Hii ni idadi kubwa ya wabunge wa kuchaguliwa kuliko wote wa '95, '00, '05 na '10 combined. Ya Zanzibar yanafahamika. These are indisputable facts, sio maoni. CUF ya Lipumba itakuwa na nguvu kuliko hizi zilizotokana na UKAWA? ??
Ni mjinga tu anayeweza kusema au kufikiria hivyo. Ni ujinga huo huo walio nao hao wanaomtumia Lipumba wakifikiria kwamba ataua UKAWA na CUF Zanzibar.
Kama uchaguzi wa mwaka jana is any guide, Profesa Lipumba akigombea hatakuwa tofauti na mgombea wa ACT ambaye licha mahela yote ya maCCM ili agawe kura za UKAWA, hakufikisha hata laki moja. Kwenye ubunge hatapata hata mmoja mmoja au wawili ambao alikuwa anawapata miaka ya nyuma.
Lipumba amebakia politically a walking corpse, bila mapolisi na usalama wa taifa na maCCM hawezi kuhutubu mkutano wa kitongoji.
He's finished. Hata mumpambe namna gani he's politically a dead man walking.
Anachokifanya hakitatuumiza in any meaningful way, hasa hasa kinatuondolea utando wa buibui kwenye fikra za wengi kwamba bado kuna upinzani nje ya UKAWA. Hakuna.