Uchaguzi 2020 Lissu asiachwe aeneze uchochezi huu

Ukweli sio uchochezi boss.
Lissu aende mahakamani ili JPM achukuliwe hatua kwa matumizi mabaya ya ofisi kama kweli ana ushahidi. Lissu ni muongo Dk Mollel alitoa siri zote za walioshiriki. Chadema wana siri nzito ndio maana hawataki kumleta dereva wa Lissu.
 
Lissu aende mahakamani ili JPM achukuliwe hatua kwa matumizi mabaya ya ofisi kama kweli ana ushahidi. Lissu ni muongo Dk Mollel alitoa siri zote za walioshiriki. Chadema wana siri nzito ndio maana hawataki kumleta dereva wa Lissu.

Kuna mahakama gani ya kushughulikia huo ukweli wa Lisu hapa nchini? Alichosema Lisu ni ukweli kwa 100%. Na hili wananchi wote wanalijua, ila kwa sasa wako kimya kuhofia usalama wao. Imeisha hiyo.
 
Mlisema alikuwa anasemea nje ya nchi,haya sasa kasema hadharani ni Magufuli ndiye aoiyeagiza apigwe Risasi!

Tuanze na Magufuli, ana ushahidi gani kama Lissu anataka kuvuruga amani ya nchi mpaka anatoa tuhuma za hovyo hovyo?
Vyombo vitende haki na atakayeshinda atangazwe! Ila kama watatangaza asiyeshindwa basi wanaotaka kuvuruga amani ni vyombo vinavyohusika kusimamia uchaguzi!
 
Mahakama ni chombo huru kama ana ushahidi ukweli utajulikana,aache propaganda za kwenye majukwaa.
Kuna mahakama gani ya kushughulikia huo ukweli wa Lisu hapa nchini? Alichosema Lisu ni ukweli kwa 100%. Na hili wananchi wote wanalijua, ila kwa sasa wako kimya kuhofia usalama wao. Imeisha hiyo.
 
Acha upumbavu wewe sababu nyinyi ndio mnamzushia uongo kiongozi wetu Mh Tundu Lisu.
Ushoga mmeubariki nyinyi alafu mnamsingizia! Rejea mlivyomkana makonda mkaandika na barua kuwabembeleza mabeberu kuwa mashoga na wasagaji wapo huru Tanzania.
Mkaja tena na uzushi wenu kuwa anatumika na mabeberu ila chaajabu rasilimali karibu zote mlishawapa hao mabeberu.
CCM siku hizi haina tofauti na kikundi cha wahuni

Amsterdam & Partners Eyes $4M Fee from Venezuela​

Fri., Mar. 27, 2020​

By Kevin McCauley

Amsterdam
Amsterdam & Partners will receive a $4M flat fee to push for the removal of US sanctions on Venezuela. The US does not recognize the government of Venezuela.

A&P assumed the work of Foley & Lardner, which resigned the account last month after Florida Senator Rick Scott blasted it for representing the "brutal regime" of Nicolas Maduro.

F&L was in line for a $12.5M flat fee for devising a "narrative and strategy" to help Venezuela remove the sanctions.
 
USSR kwa akili yako tu na uelewa wako unahisi Lissu alishambuliwa na nani Dodoma?
Unajua sababu za Chadema na Lissu kumficha shahidi namba moja aliyekuwepo eneo la tukio!? Shahidi namba moja ni dereva wake Lissu aliyekuwepo kwenye eneo la tukio nakulishuhudia kwa macho!
 
Subiri ajibiwe ndio utajua chadma ni genge tu la waharifu.

RIP kamanda Chacha Wangwe.
 
Back
Top Bottom