Naona amepigilia tshirt mpya!
Itabidi aanzishiwe clinic ya afya ya akili mirembeMtumishi wa umma atayemuunga mkono Jiwe apimwe akili kama ni normal au ni abnormal
Tangu Uhuru hakuna kipindi ambacho watumishi wa umma wameishi kinyonge na kimaskini Kama kipindi Cha 2015-2020. Hata ulisema habari ya SGR ,bwawa la maji, hospital zilizojengwa hawaelewi.Kuna kundi la watumishi wa kutoka tamisemi wanazurura nchi nzima kuzungumza na kutafuta Nini watumishi wa umma wanachofikiri kuhusu uchaguzi Mkuu wa October .ukweli Ni kwamba watumishi wote wa umma wanaotarajia kumwaga mboga na aliyebakia amwage ugali.Watumishi wa umma akili ziwakae sawa
HIVI WEWE LISSU NA CHADEMA MNA JAMBO GANI NA PRESSURE YA MWENZENU WA CHATO? MNATAKA TENA AKIMBILIE CHATO? MAANA NYIE NI TISHIO ZAIDI YA LILE TISHIO LILILOMKIMBIZA MJINI JUZIJUZI HAPA.
KUNA MTU ATASHINDWA KULA CHAKULA LEO. MIMI NAOMBA TU MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WOTE TUWASIKIEJamaa ana Mvuto wa kupendwa na watz
Zile risasi 16 zilizoingia mwilini mwake zilikuwa ni Teke lilompiga chura