Lissu anauona udikteta wa Magufuli lakini wa Mbowe hauoni

Mbowe ni janga la taifa...

Mbowe pisha kiti waachie wengine...

Kama uchawi upo, uchawi mbowe alio wanyunyuzia Wanachadema ni wa kiwango cha juu yaani extraordinary.
 
Jibu swali acha kuruka ruka...


Nirukeruke nini wakati sukari bei juu, wanafunzi wamekosa mikopo na hospitali dawa hakuna sasa utamlinganisha vipi mtu ambaye hata akifanya udikteta vipi hukosi mahitaji yako
 
Ujinga ni kudili na dikteta Mbowe ambaye hakusanyi kodi za wananchi na kumuacha Dikteta yule ambaye kasababisha bei ya sukari kupanda, mikopo kukosekana, uhuru wa maoni mfukoni n.k
 
aliyeandika hicho kipeperushi

na aliyelileta hapa ni lofa

Mbowe ni kiongozi na mfano wa kuigwa na wapenda mabadiliko wote

huwezi muweka au kumlinganisha Mbowe na Lipumba au Mrema

acheni ujinga, fanyeni kazi
 
Reactions: BAK
Kumbuka magu ndo raisi na ndo mkuu wa nchi so watu kuuona na kuukosoa udikteta wake wapo sahihi coz madhara yake hayawez kufanana na udikteta wa mbowe,mbowe na udikteta wake una athiri vp watz??
 
Mbowe ni janga la taifa...

Mbowe pisha kiti waachie wengine...

Kama uchawi upo, uchawi mbowe alio wanyunyuzia Wanachadema ni wa kiwango cha juu yaani extraordinary.
Mbowe ni janga la taifa...

Mbowe pisha kiti waachie wengine...

Kama uchawi upo, uchawi mbowe alio wanyunyuzia Wanachadema ni wa kiwango cha juu yaani extraordinary.
Mbowe kiboko ya CCM, Huyo Ni kamanda wa Anga, CCM Mkisikia jina la MBOWE mnakuwa kama mmepigwa short ya umeme. NYERERE alikuwa Mwenyekiti wa Ccm kwa zaidi ya miaka 25,Kwa akiri yako ya chini unaweza kusema NYERERE naye tumuweke kwenye kundi la Madikiteta????.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…