Wewe pimbi sikiliza soma kwanza USA wanaendeshaje majimbo usiongee ujinga wako hapaLisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi.
Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo.
Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchumi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti. Hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja. Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?
Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe.
Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio.
Mkuu, katiba ya Warioba haikupigwa chini bungeni. Kilichofanyika CCM walibadili baadhi ya vipengere ... Wapinzani wakasusia. Pamoja na CCM kuikamilisha wao wenyewe bado wameshindwa kuileta kwa Wananchi waamue!!Ndio maana ilipigwa chini bungeni.
Suala la majimbo ni cha “kike”, litauvunja nchi vipande vipande.Mkuu, katiba ya Warioba haikupigwa chini bungeni. Kilichofanyika CCM walibadili baadhi ya vipengere ... Wapinzani wakasusia. Pamoja na CCM kuikamilisha wao wenyewe bado wameshindwa kuileta kwa Wananchi waamue!!
Wewe pimbi sikiliza soma kwanza USA wanaendeshaje majimbo usiongee ujinga wako hapa
Kwahiyo majimbo ya wapinzani hamna raslimali ndiyo maana ayaendelei?Jiulize ni kwanini jimbo la Bwege na mengine ya upinzani yanaonekana “mzigo”, tafakari kwa undani usiitazame taswira ya juu juu ukajenga hoja potofu.
Sera ya majimbo inakwenda kujenga hulka ya watu kujitambulisha kwa maeneo wanayotoka, jambo ambalo ni bata sana linaloua moyo wa utaifa.
Jiulize ni kwanini jimbo la Bwege na mengine ya upinzani yanaonekana “mzigo”, tafakari kwa undani usiitazame taswira ya juu juu ukajenga hoja potofu.
Sera ya majimbo inakwenda kujenga hulka ya watu kujitambulisha kwa maeneo wanayotoka, jambo ambalo ni bata sana linaloua moyo wa utaifa.
Halima sio kazi yake kuleta maendeleo kawe hilo ni jukumu la mkusanya kodiUpinzani wetu ni ule wa kutoka bungeni wakati wa mijadala muhimu ya kitaifa.
Ni upinzani mzigo kwa walipa kodi.
Mfano jimbo la kawe lina hazina ya rasilimali watu ya kutosha lakini mbunge wetu Halima kwa miaka kumi hata mara moja hajawahi kuonekana bunju A wala B yeye muda wote ni kuzozana na watu Twitter.
Hajawahi kushughulika na shida za Kawe, na huo ni mfano mmoja tu.
Serikali za majimbo zitayanyanyapaa baadhi ya majimbo na kuyapandisha hadhi mengine...kama hiyo ndiyo hofu yako basi tulitakiwa tusiwe na mikoa, wilaya, na hata vijiji.
..mbona mataifa yenye mfumo wa majimbo wananchi wake ni wazalendo na wana moyo wa utaifa?
..Uzalendo ktk nchi yoyote ile unafifishwa na ukosefu wa haki na matumaini kwa wananchi
Kama sio jukumu lake basi aondoke .Halima sio kazi yake kuleta maendeleo kawe hilo ni jukumu la mkusanya kodi
Serikali za majimbo zitayanyanyapaa baadhi ya majimbo na kuyapandisha hadhi mengine.
Asikudanganye mtu kwamba eti majimbo yatakuwa na uwezo wa kujisimamia na kujiletea maendeleo.
hao wa vidumu vya alizeti c ndo wale mliowaibia kupitia kitambulisho cha ujasiriamaliYa vidumu vya alizeti?
Tundu lissu tunampa nchi na mfumo wa majimbo atauanzisha, jiandae kutafuta nchi inayoendesha mfumo uliopo Uhamie hukoMkuu tafuteni nchi nyingine wenye kuutumia huu mfumo muende mkaishi huko kama mnaupenda sana.