UJANJAUJANJA
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 226
- 123
Anasema kutoka kituo cha jeshi Lugalo Kikwete alipata kura chache,yaani hata haungwi mkono na wanajeshi. Kinachobaki ni kumpigia saluti tu wapate mshahara
Anasema CCM kwa kugombana na wafanyakazi wa umna hasa waalimu ambao wamekuwa [wakisimamia chaguzi miaka yote,nao wamekasirika sasa,zimebaki dkk 5 CCM inang'oka