Anasema zaidi kwamba CCM haiaminiki tena ndiyo maaba hata kwenye mikutano yao wahudhuriaji huwa ni wachache na kama wapo pia wamepewa pesa. Zimebaki dkk 5,alama za nyakati,anasema ccm ni chama ambavho kimepoteza imani kwa wananchi,na kama chama kilichopoteza imani kwa wananchi kinachobaki ni wananchi kuwang'oa,zimebaki dkk 5