Hapa niwe neutral, wakati cdm inamponda lowasa kuwa fisadi ccm walikuwa wanamtetea kuwa si fisadi, leo cdm wanamtetea lowasa kuwa sio fisadi, ccm inaponda kuwa ni fisadi, sasa ukiangalia haka kamchezo ni kama kuangalia muvi halafu ukadhania sterling atakufa kwakuwa ametekwa na maadui halafu unajikuta anawaua wote na muvi linaisha sterling akiwa hai, namaanisha wapo watazamaji wanaamini kabisa kuwa pamoja na kutekwa kwa sterling still ataokoka either kwa kujiokoa au kwa kuokolewa, na km ataokolewa either ma co-sterling watamuokoa au within maadui kuna ambaye/ambao watajitolea kumuokoa, yote hiyo ni ili tu muvi iishe sterling akiwa hai, wenye upeo nadhani mtakuwa mmenielewa point yangu ilipo
Alamsiki