Mtu wa Pwani,
..of course Chadema bado ni chama kichanga, inaeleweka kwamba hawana mapesa, na resources, kama walizonazo CCM.
..lakini hilo halina maana kwamba hawana uwezo wa kuongoza.
..kwenye nchi za wenzetu wagombea wote wa Uraisi hupatiwa ulinzi na serikali. pamoja na kutoa magari ya kuongoza msafara wa Chadema, Polisi walipaswa kutoa huduma ya mawasiliano ktk msafara huo.
Tuko,
..binafsi sioni kama stori ina mtiririko au mantiki yoyote.
..lakini wakati mwingine ni lazima kujibu story kama hizi ili kuwekana sawa.