Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,597
- 46,230
Unaijua Araba springs wewe akili ndogo?Kwa nini wananchi waliandamana kuwataka viongozi wao madikteta waondoke madarakani Tunisia,Misri na sasa Syiria nchi ambazo hazina hayo mafuta kama Libya kama mlivyolishwa hayo matango pori?
Mohamed Morsi aliyiengia Madarakani Misri baada ya maandamano alikuwa kibaraka wa hao mabeberu?
Mohamed Morsi aliyiengia Madarakani Misri baada ya maandamano alikuwa kibaraka wa hao mabeberu?
Lissu ni mtu hatari
Mambeberu yameleta machafuko sana katika nchi za africa na uarabuni kwa kufadhili vikundi vya uasi. Huyu lissu anapoelekea siko, Raisi wetu amewabana mabeberu wanyonyaji kwahivo wanamchukia sana, sasa tundu lissu isije ikawa mambo ya libya ya kuwa anatafuta ufadhili ili aingie msituni ili tu kikidhi ulafi wake wa madaraka.
Lissu ni mtu hatari katika taifa hili lenye amani na rasilimali zinazowatoa mate mabeberu.
Mimi nilikuwa upinzani, lakini lissu anatupeleka pabaya, hatari hawa wanaomtetea wanaweza kuja kujuta Baadae