ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,973
- 3,906
Lissu ni mtu hatari
Mabeberu yameleta machafuko sana katika nchi za Afrika na uarabuni kwa kufadhili vikundi vya uasi. Huyu Lissu anapoelekea siko, Rais wetu amewabana mabeberu wanyonyaji kwahivo wanamchukia sana, sasa Tundu Lissu isije ikawa mambo ya Libya ya kuwa anatafuta ufadhili ili aingie msituni ili tu kikidhi ulafi wake wa madaraka.
Lissu ni mtu hatari katika taifa hili lenye amani na rasilimali zinazowatoa mate mabeberu.
Mimi nilikuwa upinzani, lakini Lissu anatupeleka pabaya, hatari hawa wanaomtetea wanaweza kuja kujuta Baadae
Mabeberu yameleta machafuko sana katika nchi za Afrika na uarabuni kwa kufadhili vikundi vya uasi. Huyu Lissu anapoelekea siko, Rais wetu amewabana mabeberu wanyonyaji kwahivo wanamchukia sana, sasa Tundu Lissu isije ikawa mambo ya Libya ya kuwa anatafuta ufadhili ili aingie msituni ili tu kikidhi ulafi wake wa madaraka.
Lissu ni mtu hatari katika taifa hili lenye amani na rasilimali zinazowatoa mate mabeberu.
Mimi nilikuwa upinzani, lakini Lissu anatupeleka pabaya, hatari hawa wanaomtetea wanaweza kuja kujuta Baadae