Huyu dada nikimsikiliza nashangaa kwanini hayuko kama wasanii wengine .
Ana kipaji kikubwa sana na hata kimuonekano ni msanii mzuri sana.
Ni mtu wa Afrika kusini, na baadhi ya nyimbo zake zipo chini.
1) Lira Malapo- Be About it. 2) Lira Malapo- Listen
3) Lira Malapo- Rise Again
CC: Red Giant