Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,520
- 86,081
Kwenye kipindi cha EATV - Kurasa jioni hii Mzee Rungwe aliyekua mgombea Urais kwenye uchaguzi uliopita amemshauri Lipumba aondoke CUF na arejee mtaani na kwamba asiogope maisha ya mtaani!!
Kama Lipumba hata msikiliza Mzee Rungwe basi huyu atakua jiwe sio Lipumba tena! Mzee Rungwe ametoa ushauri mzuri sana kuwa Lipumba alikimbia mapigano, alikimbia jahazi likiwa liko kwenye dhoruba Kali, iweje Leo atake kurudi tena wakati alikimbia mwenyewe?? Amehoji Mzee Rungwe.
Kama Lipumba hata msikiliza Mzee Rungwe basi huyu atakua jiwe sio Lipumba tena! Mzee Rungwe ametoa ushauri mzuri sana kuwa Lipumba alikimbia mapigano, alikimbia jahazi likiwa liko kwenye dhoruba Kali, iweje Leo atake kurudi tena wakati alikimbia mwenyewe?? Amehoji Mzee Rungwe.