Lipumba alikuwa sahihi kujitenga na ufisadi!

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
36,155
29,677
Alichokifanya lipumba wakati wa uchaguzi kilikuwa ni kitu sahihi na kinachotakiwa kufanywa kwa wakati ule.

Lipumba aliamua kukataa kulamba matapishi yake...lakini pia aliipenda sana CUF kwa hiyo hakuamua kuiacha kwa maana ya kujitoa kuwa mwanachama.

Lipumba alitaka kuwaonesha CUF wenzake waliodanganyika kuwa maamuzi yao sio sahihi...lakini aliyaheshimu na akaamua asiwe kikwazo kwenye maamuzi hayo ya Chama.

Lipumba alitaka kuwaonesha CUF kuwa njia waliyopita haikuwa sahihi na haikuwa na tija kwa ustawi wa chama na hivyo kama mwenyekiti asingekubali kuona chama kinazama chini ya usimamizi wake.

Lipumba aliwaachia watoto wachezee wembe ...sasa umewakata na wamejifunza na ameamua kurudi na kuwaponya.

Lipumba na profesa na mstaarabu sana na anastahili nafasi nyingine.

Wasiostahili ni wale waliokubali kuukumbatia usanii na ufisadi uliokumbatiwa na UKAWA iliyoingia kwenye uchaguzi huku ikiwa imeachana na misingi ya ki-UKAWA.
 
Wadau tujadili mada achaneni na Jingalao...ni mjumbe tu mwenye mawazo huru
 
Huo ufisadi alioukimbia mwanO ndani ya ukawa..leo umepotea au bado upo??je Cuf imejitoa ndani ya ukawa au bado ipo.. lowasa amejitoa chadema au bado yupo??je cuf itajitoa ndani ya ukawa chini ya Lipumba??
 
Huo ufisadi alioukimbia mwanO ndani ya ukawa..leo umepotea au bado upo??je Cuf imejitoa ndani ya ukawa au bado ipo.. lowasa amejitoa chadema au bado yupo??je cuf itajitoa ndani ya ukawa chini ya Lipumba??
Haya ni maswali kuntu ...

Je Ukawa inaendelea kuwepo?kama ipo kikao cha mwisho cha UKAWA kilikuwa lini?
 
........................................
Lipumba aliipenda sana CUF ndio maana hakutoka na akabaki kuwa mwanachama wa kawaida.

Slaa aliumizwa sana na gia ya anga akaamua kujiuzulu.

Wengine waliamua kujiunga CCM.

Wengine waliamua kupambana wakiwa wanachama ndani ya UKAWA.

all in all mfadhaiko ulikuwa mkubwa sana baada ya UKAWA kumpokea mtuhumiwa na bahati mbaya hawakuelezwa ni lini ameacha kuwa mtuhumiwa.
 
Kumbuka ukawa ilikuwepo kabla ya uchaguzi.. pia haijafa baada ya uchaguzi.. je lipumba hajui hilo??
Nini kinachokufanya useme UKAWA haijafa?

Mimi naona UKAWA ilikufa tulipoanza mchakato wa uchaguzi mkuu.

UKAWA ilikufa baada ya kubadilisha lengo lao kutoka utetezi wa katiba mpya na kuwa muungano wa kisiasa unaotaka madaraka...UKAWA ulipoteza wanachama wasiokuwa wafuasi wa vyama...

kumbuka UKAWA ulikuwa ni mjumuiko wa watu wotena wafuasi wa vyama vyote na hata wasiokuwa wafuasi wa vyama...neno UKAWA ni umoja wa katiba ya wananchi kabla ya figisufigisu za kisiasa.
 
Lipumba aliipenda sana CUF ndio maana hakutoka na akabaki kuwa mwanachama wa kawaida.

Slaa aliumizwa sana na gia ya anga akaamua kujiuzulu.

Wengine waliamua kujiunga CCM.

Wengine waliamua kupambana wakiwa wanachama ndani ya UKAWA.

all in all mfadhaiko ulikuwa mkubwa sana baada ya UKAWA kumpokea mtuhumiwa na bahati mbaya hawakuelezwa ni lini ameacha kuwa mtuhumiwa.
lakini Lipumba huyohuyo akiwa mwenyekiti kwa miaka 15, wABUNGE 2!. Katoroka, watu wametusua..............anataka kudandia UDART
 
Huo ufisadi alioukimbia mwanO ndani ya ukawa..leo umepotea au bado upo??je Cuf imejitoa ndani ya ukawa au bado ipo.. lowasa amejitoa chadema au bado yupo??je cuf itajitoa ndani ya ukawa chini ya Lipumba??
Bora kurudi sasa kuliko angekaa na kusaidia nchi kupata kiongozi mchafu asiyestahiki. Japokuwa lowasa bado yupo ukawa lakini hana madhara yoyote kwa sasa kwa yeyote. Kurudi kwa
Lipumba maana yake ukawa shakani.
 
Nionavyo mimi lipumba hawezi kuwa mwenyekiti wa cuf.. bora abaki kuwa mwanachama wa kawaida..
 
lakini Lipumba huyohuyo akiwa mwenyekiti kwa miaka 15, wABUNGE 2!. Katoroka, watu wametusua..............anataka kudandia UDART
Nani anajua kuwa asingetoroka na UKAWA isingempokea huyo mtuhumiwa matokeo yangekuwa mazuri zaidi ya haya?

Usilinganishe mafanikio ya UKAWA na ujio wa mtuhumiwa !
 
Ukawa ipo imara maana hata kwenye uchaguzi mkuu walifanya vema kwa kupata viti vingi.. hata sasa bungeni ukawa ipo imara..je lipumba atakubali kushirikiana na aliowapinga??
Nimejaribu kukujibu kwa comment yangu hapo juu
 
Cuf bila Lipumba imeimarika sana..je haoni kuwa yeye ndio.alikuwa tatizo??
 
Kama alijiuzuru kwa kutofautiana na wenzake , hao aliotofautiana nao wamebadili msimamo wao kwa sasa? Akili ndogo tuu huhitaji kuitwa profesa kujua ukweli.

Lipumba na Slaa waliongozwa na tamaa, ubinafsi na kiburi cha umaarufu.
Walizani wao wanapendwa sana kuliko taasisi wanazo ziongoza.
Hawana tena mchango ktk siasa za sasa ambazo ni pevu na za kisayansi zaidi kwa jamii.
 
Profesa Fisadi hawezi kujitenga na ufisadi. Kuna utafiti unasikitisha na kusikitisha. Ati kwamba ngozi nyeusi hata isome vipi, haina tofauti ktk IQ na ngozi nyeusi isiyosoma. Hii ni kwa waafrika wote hata walio USA na UK. Kwa haraka ni rahisi kuipinga na kuichukia sababu ya denial na fake patriotism. Lakin unapoona profesa bobezi wa uchumi kutoka Stanford apekelekeshwa na kuamriwa mambo na mkwere ambaye ana gents ya uchumi ya Mlimani, unaanza kuelewa tafiti za wazungu.

Prof. hatakuja kukiri hadharani, lakini hakika baada ya miaka kadha, yeye, wanawe na wajukuu zake watasutwa sana kwa aliyofanya kwa siasa za upinzani Tanzania mwaka jana. Yote kwa yote, ni heri yeye inayesemekana aliramba bilion za pesa kuliko padri aliyedanganywa na kidosho mbibi anayejifanya sistaduu. Pia huyu mbishi wa kigoma kasaliti harakati kwa ajili ya uswahiba na mkwere.
 
Kama alijiuzuru kwa kutofautiana na wenzake , hao aliotofautiana nao wamebadili msimamo wao kwa sasa? Akili ndogo tuu huhitaji kuitwa profesa kujua ukweli.

Lipumba na Slaa waliongozwa na tamaa, ubinafsi na kiburi cha umaarufu.
Walizani wao wanapendwa sana kuliko taasisi wanazo ziongoza.
Haijalishi kama aliotofautina nao wapo au la ...kinachojibu hoja ni kwamba je waliotofautina na lipumba walifanikisha malengo ya CUF kwa mwaka 2015 au la?

Lipumba na Slaa walijitanabaisha kuwa ni viongozi wanaosimamia malengo,mienendo,values na sera za vyama vyao na hawakuwa tayarikuyakanyaga wanayosimamia.
.watanzania wazalendo na jamii ya kistaarabu imewaelewa.
 
Alichokifanya lipumba wakati wa uchaguzi kilikuwa ni kitu sahihi na kinachotakiwa kufanywa kwa wakati ule.

Lipumba aliamua kukataa kulamba matapishi yake...lakini pia aliipenda sana CUF kwa hiyo hakuamua kuiacha kwa maana ya kujitoa kuwa mwanachama.

Lipumba alitaka kuwaonesha CUF wenzake waliodanganyika kuwa maamuzi yao sio sahihi...lakini aliyaheshimu na akaamua asiwe kikwazo kwenye maamuzi hayo ya Chama.

Lipumba alitaka kuwaonesha CUF kuwa njia waliyopita haikuwa sahihi na haikuwa na tija kwa ustawi wa chama na hivyo kama mwenyekiti asingekubali kuona chama kinazama chini ya usimamizi wake.

Lipumba aliwaachia watoto wachezee wembe ...sasa umewakata na wamejifunza na ameamua kurudi na kuwaponya.

Lipumba na profesa na mstaarabu sana na anastahili nafasi nyingine.

Wasiostahili ni wale waliokubali kuukumbatia usanii na ufisadi uliokumbatiwa na UKAWA iliyoingia kwenye uchaguzi huku ikiwa imeachana na misingi ya ki-UKAWA.
Lipumba alinunuliwa na Membe kwa dola million 1.5 akawatoroka Ukawa, hana lolote huyo kazichezea zile pesa kwa michepuko zimekwisha ameamua kutengeneza Dili na akina January makamba wale pesa za ccm kwa kisingizio kuwa anaipenda CUF. Lipumba ni Profeselii ni aina ya Wasomi feki na Wajinga Nchi hii.
 
Back
Top Bottom