Lipi jiji zuri kati ya Mbeya na Tanga?

Ukiongelea uzinz ,sjui uchafu mala ushoga kuwa umejaa Tanga bas itakua ujatembea ndugu,hili ni swala la kawaida miji yote ya starehe lazma ukutane na Mambo km aya,hata hata ukienda miji ya mbele ya starehe hayakwepeki lazma ukutane nayo.Bakin kwenye point ya msingi kua Tanga pazr kulko Mbeya .
 
mnaizungumzia tanga hiihii ambayo maduka yanafunguliwa saa nne asubuhi na kufungwa saa moja jioni?
 
Tupe ushahidi juu ya hayo unayoyasema
 
Hivi Iringa na Dodoma vipi ipi iko juu?
Kulinganisha simba na chui? Imekaaje hivyo,Mbeya ni jiji na Tanga ni manispaa,bado hapo hujaona tafauti wewe muliza swali. Kitu gani kunaupa mji kuwa jiji? Sifa moja wapo ni mpangilio na huduma za kijamii. Hill tu linakupa mwanga wa tofauti ya Mbeya jiji na Tanga Manispaa. Karibu
 
Uzuri katika nini?
Tanga ni mji WA zamani sana lakini Mbeya ndio inakuwa sasa, kuna vitu tanga IPO juu zaidi lakini pia kuna vitu Mbeya IPO juu sana .
 
Tanga manispaa. Unamiaka mingapi ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…